Unaweza date current ex wa rafiki yako?

Unaweza date current ex wa rafiki yako?

Viva89

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2012
Posts
1,261
Reaction score
528
Jamani jamani, kuna mdada kaachana na boyfriend wake, hata mwezi haujapita rafiki wa yule jamaa akaanza kumtongoza, pamba moto hatari, demu akamuambia siwezi toka na Wewe kwa sababu wewe na ex wangu marafiki, mtu haelewi.

Kiukweli mi nadhani amblock kwa sababu namuona sio mtu mzuri.

Mnaonaje? Ni sawa ku date na current ex wa rafiki yako?
 
Ndo maana nimeacha kutandika watu mkuyenge ili niwe mwana zayazi hebu fikiria vijana wanakwenda kufanya kazi huko International Space Station for six moths ndo wanarudi sasa mpenzi gani atakae kubaliana na hii hali?

Sasa umkute kijana wa Kingoni au kizigua umwambie uende huko juu for six months atakwambia ooh nimeoa juzi nitamwacha na nani mke wangu labda niende nae kumbe hajui kule juu hakuna gravitational force hivyo mkuuyenge hausimami kule
 
Hauwezi kuwa current halafu hapo hapo ukawa ex. Ungeandika kwa Kiswahili tu ungeeleweka vema.
Current huwa inamaanisha kwa muda huo, kwa neno lingine "latest", sasa nikisema current ex inamaanisha mtu wa mwisho ulieachana nae kabla ya kuanza mahusiano mapya, sio wa miaka 2/5 iliyopita
 
Hauwezi kuwa current (wa sasa) halafu ukawa ex (wa zamani) kwa pamoja. Kwa nyie mnaopenda kuchanganya lugha, neno sahihi la kutumia ni "immediate ex boyfriend". Shule za Kiingereza zimeongezeka sana lakini Kiingereza ndio kimekuwa kibovu sana.
Current huwa inamaanisha kwa muda huo, kwa neno lingine "latest", sasa nikisema current ex inamaanisha mtu wa mwisho ulieachana nae kabla ya kuanza mahusiano mapya, sio wa miaka 2/5 iliyopita
 
Jamani jamani, kuna mdada kaachana na boyfriend wake, hata mwezi haujapita rafiki wa yule jamaa akaanza kumtongoza, pamba moto hatari, demu akamuambia siwezi toka na Wewe kwa sababu wewe na ex wangu marafiki, mtu haelewi.

Kiukweli mi nadhani amblock kwa sababu namuona sio mtu mzuri.

Mnaonaje? Ni sawa ku date na current ex wa rafiki yako?
Wewe ni me au ke
 
Kwa kuangalia avatar zenu, nyie mko kundi moja. Bila shaka machale yamekucheza ndio maana ukatafuta confirmation ili um-PM.
1623627915795.png

1623627956804.png


wewe ni me au ke
 
ishatokea zaid ya mara moja baada ya kubaini anatoka na mshikaji na mmi nikageuza upande nikatoka na mdogo wake na best akeeee
 
Ni sawa maana hata hawa bwana zetu ni X za watu.. Kujuana au kutojuana sio kesi, kesi ni ulikua unamkubali ??? maana hata kama anataka kumkomoa shoga ako haitakuuma sana.
- Sometimes unakuta ndo mumeo huyo!

We daka kama metacha kwani dunia ni yetu[emoji2][emoji2]
 
Kuna mwamba wangu alikua ana tabia ya kutongaza ma Ex wangu bila me kujua mda uo tukiwa wote kwenye story tuna shirikiana kuwapa shit ao ma Ex. Kumbe mwamba ni choko tu nilimvua na vyeo ......alijua izo kazi nazipata kirahisi akaona ni kitonga akaishia kupigwa vibuti.
 
Am
Kuna mwamba wangu alikua ana tabia ya kutongaza ma Ex wangu bila me kujua mda uo tukiwa wote kwenye story tuna shirikiana kuwapa shit ao ma Ex. Kumbe mwamba ni choko tu nilimvua na vyeo ......alijua izo kazi nazipata kirahisi akaona ni kitonga akaishia kupigwa vibuti.
Amin man me mwnyw kuna mwnng m1 alniulzag vp flan (apo ilkuwa kabla cjaachan na dem) Mbn cku hz kimya uwasiliani nae nkamtania cna hela ckukuu inakaribia anaweza npiga kibut yule boya yule boya akaomba no za dem nkamp akajitambulsha baadae akampng fulan kasema hv na hv(mm uyo) dem nae bado Ananlove akanpanga yote nkamfat mchz nkampng kama unamtak ingia na swaga zako acha kuntemea shit akazugazuga nkaminyeshea chat zako dem alnfowadia baadae nikamwambia me dem namtema aingie bac kama anadhan hicho ni kima chake, mapema tu alifloat dem alimpnga cpend marafik masnitch
 
Usidate nae, watu mbona ni wengi sana wengine wanazagaa zagaa hawana watu!!!
 
Haya mambo huwa tunayajadili ila kwenye uhalisia tuyaache tu.

Maana kuna watu kazi yao kula wake wa marafiki zao.

Kuna watu kazi yao kula mademu wa marafiki zao.

Na ni marafiki wa karibu sana.

Kuna marafiki wa karibu sana nawafahamu, mmoja alikuwa na kawaida ya kula demu wa rafiki yake wa karibu mpaka ikafikia mwenye mali akaja kustukia mchezo, sema mwenye mali alikuwa na roho ya kipekee. Alipokuja kustukia mchezo alijitoa akawaambia waendelee, ingawa ilikuwa ngumu sana hapo mwanzoni kwa wapenzi hao (wezi) kuendelea na penzi lao, baadae ilibidi wakubali matokeo na kuendelea na mapenzi yao, mpaka ikafikia wakaoana.

Ni miaka michache imeshapita na bado wapo pamoja kwenye ndoa yao, na wamebahatika kupata mtoto mmoja mpaka kufikia hii leo
 
Back
Top Bottom