Unaweza kuchukua kila kitu ulichokuwa umempatia mpenzi wako iwapo mkiachana?

Unajua kinacho wafanya wengi kuwaachia vitu baadhi ya wanawake ni kutaka kuonekana ni watu wema na ni kweli watu wema wapo wengi lakini bahati mbaya zaidi kumfanyia mtu wema mara nyingi kumegeuka majuto sana sana kwa wahusika!

Wengi huwa wanaachiwa vitu lakini walio waachia hujuta mbeleni kwakuwa ni vigumu kutegemea shukrani kutoka kwa mtu aliyekuumiza au kutoka kwa wanawake wengi!

Wanawake wengi kwa nature hawatakiwi kuonewa huruma bali wanapaswa kupewa haki yao kwa hiyo kama vitu ni vyako na ulimpa ni vyema umpokonye kabisa kabisa usipofanya hivyo lazima ujute……

Ambacho unaweza kumuaachia ni chupi tuu …lakini vingine inapaswa kumpora kabisa….!
 
Mkuu na sisi tulioacha hadi mahari unatushaurije, tukaanzishe timbwili
 
Je mnaweza rudishiana utamu mliopeana?Kama haiwezekani jua pia haiwezekani.
 
Aah kama vitu mlipeana kwa upendo enzi hizo haina haja ya kuchukua baada ya breakup, muache navyo tu.

Utoto wa chuo kuna ex babe alivyoniacha nilimpokonya calculator yangu niliyomhonga😀, now utu uzima siwezi kuchukua.
 
Mi huwa sitoi zaidi ya chakula, labda nikatapishe septic tank
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…