Unajua kinacho wafanya wengi kuwaachia vitu baadhi ya wanawake ni kutaka kuonekana ni watu wema na ni kweli watu wema wapo wengi lakini bahati mbaya zaidi kumfanyia mtu wema mara nyingi kumegeuka majuto sana sana kwa wahusika!
Wengi huwa wanaachiwa vitu lakini walio waachia hujuta mbeleni kwakuwa ni vigumu kutegemea shukrani kutoka kwa mtu aliyekuumiza au kutoka kwa wanawake wengi!
Wanawake wengi kwa nature hawatakiwi kuonewa huruma bali wanapaswa kupewa haki yao kwa hiyo kama vitu ni vyako na ulimpa ni vyema umpokonye kabisa kabisa usipofanya hivyo lazima ujute……
Ambacho unaweza kumuaachia ni chupi tuu …lakini vingine inapaswa kumpora kabisa….!