Cannabis JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 11,557 Reaction score 33,535 Mar 2, 2024 #21 financial services said: Aah kama vitu mlipeana kwa upendo enzi hizo haina haja ya kuchukua baada ya breakup, muache navyo tu. Utoto wa chuo kuna ex babe alivyoniacha nilimpokonya calculator yangu niliyomhonga😀, now utu uzima siwezi kuchukua. Click to expand... Aisee kuna ex alinidai hadi boksa alizoninunulia nikasema huyu sijui anataka kwenda kuniroga, ujana raha sana !
financial services said: Aah kama vitu mlipeana kwa upendo enzi hizo haina haja ya kuchukua baada ya breakup, muache navyo tu. Utoto wa chuo kuna ex babe alivyoniacha nilimpokonya calculator yangu niliyomhonga😀, now utu uzima siwezi kuchukua. Click to expand... Aisee kuna ex alinidai hadi boksa alizoninunulia nikasema huyu sijui anataka kwenda kuniroga, ujana raha sana !
financial services JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 17,776 Reaction score 42,402 Mar 2, 2024 #22 Cannabis said: Aisee kuna ex alinidai hadi boksa alizoninunulia nikasema huyu sijui anataka kwenda kuniroga, ujana raha sana ! Click to expand... 😀😀 huyo alizidi sasa hadi boksa jamani. Bora mimi kabisa😀
Cannabis said: Aisee kuna ex alinidai hadi boksa alizoninunulia nikasema huyu sijui anataka kwenda kuniroga, ujana raha sana ! Click to expand... 😀😀 huyo alizidi sasa hadi boksa jamani. Bora mimi kabisa😀
Man Rody JF-Expert Member Joined Aug 4, 2022 Posts 1,263 Reaction score 2,987 Mar 2, 2024 #23 plus_ix said: inategemea ni vitu vya aina gani Click to expand... Kabisa na mmeachana style gani, kama kazengua yeye labda ka cheat na ulimpa ndinga khaa chombo inarudii, wengine hawajui kuachika bado vijembe na kupakaziana wa nn kumstiri huyo
plus_ix said: inategemea ni vitu vya aina gani Click to expand... Kabisa na mmeachana style gani, kama kazengua yeye labda ka cheat na ulimpa ndinga khaa chombo inarudii, wengine hawajui kuachika bado vijembe na kupakaziana wa nn kumstiri huyo