kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Mimi ni kijana nimeo nina mke mmoja na mtoto mmoja
Sasa tangu nimeoa mke wangu Nimekuwa kama mtu ambaye ametupiwa Pepo la uzinzi Yaani siwezi kupitisha siku mbili au moja na nusu bila kufanya tendo la Ndoa na mke wangu nimejaribu kutafuta michepuko lakini wapi kila nikimuona tu natamani kushiriki tendo la Ndoa kwa mwenzangu ameanza kuona kero
Cha ajabu na chakushangaza jana nilikuta mke wangu ameninunulia sex toy
Akanipa nakusema eti nikiwa hamu zangu nitakuwa nazimalizia kwa toy hiyo
Mpaka najiuliza how can be possible how she thinks au ni mtego huu
Sasa tangu nimeoa mke wangu Nimekuwa kama mtu ambaye ametupiwa Pepo la uzinzi Yaani siwezi kupitisha siku mbili au moja na nusu bila kufanya tendo la Ndoa na mke wangu nimejaribu kutafuta michepuko lakini wapi kila nikimuona tu natamani kushiriki tendo la Ndoa kwa mwenzangu ameanza kuona kero
Cha ajabu na chakushangaza jana nilikuta mke wangu ameninunulia sex toy
Akanipa nakusema eti nikiwa hamu zangu nitakuwa nazimalizia kwa toy hiyo
Mpaka najiuliza how can be possible how she thinks au ni mtego huu