Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Tuseme tu ukweli mama ameupiga mwingi kwenye swala la bajeti.
Kwa ushauri zaidi.
PM
au
Email: menejawamakampuni@gmail.com
Let be smart in seriously issues.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo wizara ya kilimo haijatengewa pesa?subiri utaona kama hizo pesa hazitaingia kwenye matumbo ya watu.View attachment 2282395
Tuseme tu ukweli mama ameupiga mwingi kwenye swala la bajeti.
Kwa ushauri zaidi.
PM
au
Email: menejawamakampuni@gmail.com
Let be smart in seriously issues.
Soma jedwari vizuri.kwa hiyo wizara ya kilimo haijatengewa pesa?subiri utaona kama hizo pesa hazitaingia kwenye matumbo ya watu.
View attachment 2282395
Tuseme tu ukweli mama ameupiga mwingi kwenye swala la bajeti.
Kwa ushauri zaidi.
PM
au
Email: menejawamakampuni@gmail.com
Let be smart in seriously issues.
Mbaya zaidi bajeti huwa haiwezi vuka zaidi ya 60% ya utekerezaji.View attachment 2282395
Tuseme tu ukweli mama ameupiga mwingi kwenye swala la bajeti.
Kwa ushauri zaidi.
PM
au
Email: menejawamakampuni@gmail.com
Let be smart in seriously issues.
Tumwacheni mama afanye kazi, tuweke chuki pembeni.Baada ya mwaka mmoja fuatilia hizo B 294 za wizara ya kilimo kuwa zimetumika vipi na uzalishaji katika sector ya kilimo umeongezeka kwa asilimia ngapi uje hapa utupe mrejesho
Tumwacheni mama afanye kazi, tushikamane, tumuungeni mkonoMbaya zaidi bajeti huwa haiwezi vuka zaidi ya 60% ya utekerezaji.
#MaendeleoHayanaChama
Tuacheni chuki za waziwazi, serikali ya awamu ya 6 inapiga kazi sanaAcha utapeli wa kijinga, hiyo bajeti iliyosomwa ni ya kusaka kiki ya kisiasa, lakini utakelezaji haufiki hata 60%. Isitoshe hilo neno bajeti ya wananchi sio la leo wala jana. Kawalishe watu wa kijijini huu utapeli.
Tuacheni chuki za waziwazi, serikali ya awamu ya 6 inapiga kazi sana
Kwenye makaratasi ni nzuri, kwenye utekelezaji ni sifuri, ukizingatia anapenda kwenda ng'ambo.View attachment 2282395
Tuseme tu ukweli mama ameupiga mwingi kwenye swala la bajeti.
Kwa ushauri zaidi.
PM
au
Email: menejawamakampuni@gmail.com
Let be smart in seriously issues.
Tuacheni chuki za waziwazi, serikali ya awamu ya 6 inapiga kazi sanaUtapeli wa wazi wazi hauwatoi.
serikali ya awamu ya 6 inapiga kazi sanaKwenye makaratasi ni nzuri, kwenye utekelezaji ni sifuri, ukizingatia anapenda kwenda ng'ambo.
Tuacheni chuki za waziwazi, serikali ya awamu ya 6 inapiga kazi sanaTatizo ni lile lile siasa zimetawala maendeleo. Sahivi imegeuka ni kusifu kusifu ili kujipatia mkate.
Budget yetu iyo teyari ni mfu. Kama tungekua tunatekeleza yanasemwa ata kwa 70% leo hii tusingekua tunalia na madawati, vyoo nk.
We fikiria kama utekelezaji wa faini za bajaji na pikipiki hadi leo haujawai fanyika pamoja na budget kuridhia
Tuacheni chuki za waziwazi, serikali ya awamu ya 6 inapiga kazi sana