Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
jumla hapo nilitumia 350000Gharama zake ziko je?
Zege lako umeweka kokoto kweli?Unafunika kama kawaida View attachment 2046445View attachment 2046446
mbona kama naiona hatari kubwa kwa mtu/watu wanaoingia shimoni kupanga hayo mawe
Tunasubiri ajali kwa hamu mkuuHapana hayawezi kuanguka na hatujatumia Cement wala udongo kukazia mawe hayo ni yenyewe tu jinsi unavyoona pia ni bora zaidi na gharama ni nafuu kuliko kujengelea kwa Cement