Unaweza kukunja nguo za ndani za mpenzi wako na kujionesha mtandaoni kama Harmonize alivyofanya?

Unaweza kukunja nguo za ndani za mpenzi wako na kujionesha mtandaoni kama Harmonize alivyofanya?

Mmakonda hutu ni mshamba sana, sijui angekuwa mredu ingekuwaje
Yeye na Haji wote wamezidisha ushamba, hawajui tunaishi kwenye Dunia ya teknolojia.

Ambapo hayo wanayoyaposti Kila saa yatakuja kutumiwa dhidi yao Siku za usoni katika kuwaadhibu mambo yatakapowaendea tofauti.
 
Huyu jamaa kwenye muziki wake huwa namuelewa sana ila linapokuja suala la mahusiano huwa nabaki namshangaa mno anakuwa mgeni kuliko kawaida
 
Nyimbo imebuma nn kaona atafute kiki inasikitisha sana
 
Msanii anafanya usanii,watu roho zinawatoka. Nyie mnaopiga kelele ndio mna matatizo. Mmakonde anajua anafanya nini
 
Back
Top Bottom