Unaweza kumuacha umpendae?


mhhh...yale yale...kweli kuchokwa kubaya.
 
Sasa kama ni ya mwanamke, mbona mwanaume akiyachezea mnaheuka?

Sasa ushasema mkiyachezea si unajua raha ya mchezo wewe? Babu jamani mbona mchokozi hivyo mie sitaki bwana!!!
 
@chauro @afrodenzi mi sio mnachobishana hapo nyie wote mko sawa ila katika mtazamo tofauti njia sio tatizo cha msingi ufike unapokwenda na kwa muda unaotakiwa.Hakuna mtaalamu kwenye mambo haya ila kila mmoja ana Strategy zake so ur al ryt
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…