Unaweza kumuheshimu mtu usiyempenda, lakini huwezi kumpenda mtu asiyekuheshimu

Unaweza kumuheshimu mtu usiyempenda, lakini huwezi kumpenda mtu asiyekuheshimu

Sasa nimeelewa huu msemo unamaanisha nini.

Hitaji namba moja la mwanaume ni heshima na hitaji namba moja la mwanamke ni upendo.

Kumbe upendo na heshima ni vitu vinavotegemeana🤔
HAPANA

Vyote vinategemeana. HAiwezekani eti akupende alafu asikuheshimu au akuheshimu alafu asikupende, hii ni movie katika mahusiano.

Ok the issue is. Mwanaume anapokupenda anataka heshima yako n wewe ili umuheshimu mwanaume lazima umpende.

So hivyo vyote vinaendana
 
Hiyo package ya heshima ipo ndani ya upendo, huwezi kumpenda mtu alafu usimheshimu, kama humuheshimu means humpendi.
😁😁😁😁😁😁 Nadra sana kuheshimiwa kama hupendwi. Na alieleta equation ya mwanamume sharti ampende mwanamke ili aheshimiwe naona alikuwa kachanganyikiwa.

Mwanamke ndio anatakiwa apende ndio atatoa heshima. Mwanamke ikiwa hakupendi hawezi kukuheshimu hata wewe uoneshe kumpenda kiasi gani atakufanyia mambo ya hovyo tu. The guy was inexperienced with women psychology then akatoa theory ya uongo mno.

Mwanaume kupenda ni given huku Mwanamke kupenda ni nadra ila huwa ana juhudi sana akipenda atafanya kila kitu ili mwanaume aji feel comfortable, atampikia, atampa mbunye, zawadi na hela kama anazo atampa pia yani ilimradi mtoto wa mama mkwe asiteseke tu.
 
Back
Top Bottom