Unaweza kumuiga Pacome kuweka bleach kichwani lakini uwezi kumuiga ubora wake!

Unaweza kumuiga Pacome kuweka bleach kichwani lakini uwezi kumuiga ubora wake!

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Yule mwamba anaupiga mwingi mpaka unamwagika, ni mchezaji wa viwango vya juu, anajua na anajua Tena na Tena

Kuna kopi za wakina Pacome wameamua kumuiga na wao wakaweka bleach🤣🤣 lakini uchezaji wao ni Kama konokono wa migombani!

Huyu bwana energy yake, maarifa yake ni babkubwa, anatoa somo kwa viungo wengi hapa Tanzania, jamaa analijua boli!

Diarra huyo anabaki kuwa mmoja tu Tanzania wengine wote wakachukue vitabu na kujifunza na amekaa kimya ameacha mikono yake iongee uwanjani keshafanya mengi na keshadhihirisha ubora wake na sio kelele za matarumbeta!

YOTE KWA YOTE KUNA PACOME MMOJA TU MWENYE BLEACH OGOPENI WENGINE NI MATAPELI!
 
Baleke: "ngoma amekuwa akitupiga sana mazoezini akilazimisha tumuite pacome.

Ngoma:
FB_IMG_17030968638899272.jpg
 
Kwani yeye ndo mwenye hatimiliki kiwanda cha bleach kiasi kwamba wengine wakipaka wamuogope yy eti kisa yy ni pakomwe? Yani watu waache kutengeneza rasta kisa Kibu ametengeneza...
Hahhahah
Elewa maana ya neno "MATAPELI"" Kuna tapeli mmoja anacheza timu Fulani baada ya Kuona moto wa pacome na yeye uyo akakimbia kuweka bleach akidhani atafanana nae🤔🤔🤔
 
Elewa maana ya neno "MATAPELI"" Kuna tapeli mmoja anacheza timu Fulani baada ya Kuona moto wa pacome na yeye uyo akakimbia kuweka bleach akidhani atafanana nae🤔🤔🤔
Leta hoja yenye mashiko ongea wazi bana mseme wazi si ni Ngoma? Majukumu ya Ngoma anayatekeleza kwny timu yake kwa asilimia 100...sasa muonekano wake unaku iritate nini yani ashindwe kufanya anachopenda kisa nyie mtamfananisha na mchezaji wenu. Ur not serious. PAKOME anafanya majukumu ya ufungaji kwa sbb timu lenu halina wafungaji kaliba ya Mayele tena..inabidi awaokoe ndo maana mnamuona hero.
 
Kwani yeye ndo mwenye hatimiliki kiwanda cha bleach kiasi kwamba wengine wakipaka wamuogope yy eti kisa yy ni pakomwe? Yani watu waache kutengeneza rasta kisa Kibu ametengeneza...
Hahhahah
Kwa upande wa wachezaji Yeye ndo anaitendea haki bleach tunampa umiliki rasmi sasa
 
Pacome is OVERRATED PLAYER mchezaji wa kawaida sana tena sana sema kwasababu anafunga watu hawawezi kuelewa labda max nzingeli ila lile ni garasa nimekaa pale.
 
Yule mwamba anaupiga mwingi mpaka unamwagika, ni mchezaji wa viwango vya juu, anajua na anajua Tena na Tena

Kuna kopi za wakina pacome wameamua kumuiga na wao wakaweka bleach[emoji1787][emoji1787] lakini uchezaji wao ni Kama konokono wa migombani!

Uyu bwana energy yake, maarifa yake ni babkubwa, anatoa somo kwa viungo wengi hapa Tanzania, jamaa analijua boli!

Diarra uyo Anabaki kuwa mmoja tu Tanzania wengine wote wakachukue vitabu na kujifunza na amekaa kimya ameacha mikono yake iongee uwanjani keshafanya mengi na keshadhihirisha ubora wake na sio kelele za matarumbeta!

YOTE KWA YOTE KUNA PACOME MMOJA TU MWENYE BLEACH OGOPENI WENGINE NI MATAPELI!
Wewe ni Tutusa,hakuna asiyejua wakongo wanavyopenda kuweka bleach, French speaking countries ndo style zao, naona unataka hata kuwapangia watu life style zao,haingaika na maisha yako utatolewa marinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni Tutusa,hakuna asiyejua wakongo wanavyopenda kuweka bleach, French speaking countries ndo style zao, naona unataka hata kuwapangia watu life style zao,haingaika na maisha yako utatolewa marinda

Sent using Jamii Forums mobile app
Tutusa ni yule Kono Kono tuliyeambiwa ameokotwa airport akitaka kujifananisha na zizzou, akuna anayemzuia mtu kuweka bleach but tunaweka statement sawa msiwe mnakurupuka kufananisha vitu nyie vijana wa mangungu matakuja kubakwa siku moja!
 
Pacome is OVERRATED PLAYER mchezaji wa kawaida sana tena sana sema kwasababu anafunga watu hawawezi kuelewa labda max nzingeli ila lile ni garasa nimekaa pale.
Maumivu makali sana bwana mbumbumbu ebu tupe data zako zinazoonyesha pacome ni garasa ili tuidadavue hoja yako!
 
Tutusa ni yule Kono Kono tuliyeambiwa ameokotwa airport akitaka kujifananisha na zizzou, akuna anayemzuia mtu kuweka bleach but tunaweka statement sawa msiwe mnakurupuka kufananisha vitu nyie vijana wa mangungu matakuja kubakwa siku moja!
Amekuambia anataka kujifananisha au unawashwa, we kweli una akili za Konkoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani haya ma uto bana...hoja zi kipuuzi eti anajifananisha 😆 😆 😆
 
Ukiweka bleach umewapa watu urahisi wa kukupinpoint uwanjani, kwa sasa Pacome na Bruno Guimaraes ndio wanaitendea haki bleach
 
Back
Top Bottom