Kumbr bleach ni aina ya mchezo unaotendewa haki....duuh utasema sasa na kuchomekea kwa max ndo anakutendea haki watt wa shule wasichomekee kaptula zao za shule...😆😆Kwa upande wa wachezaji Yeye ndo anaitendea haki bleach tunampa umiliki rasmi sasa
Unadhani aliewaita utopwinyo alikosea?????Kumbr bleach ni aina ya mchezo unaotendewa haki....duuh utasema sasa na kuchomekea kwa max ndo anakutendea haki watt wa shule wasichomekee kaptula zao za shule...[emoji38][emoji38]
Unampa umilik ukiwa na hisa ngap za kiwanda cha bleach?Kwa upande wa wachezaji Yeye ndo anaitendea haki bleach tunampa umiliki rasmi sasa
Hawawezi kukuelewa hawa jamaa .Pacome is OVERRATED PLAYER mchezaji wa kawaida sana tena sana sema kwasababu anafunga watu hawawezi kuelewa labda max nzingeli ila lile ni garasa nimekaa pale.
Muulize manulaNi wa kawaida sana, sema si unajua mashabiki wa utopolo hawana akili
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Yao muimbe weweHawawezi kukuelewa hawa jamaa .
Sijaona uhatar wake huyo pacome ni wakawaida sana Zaid saiz Ana kaupepo tu ka magoli Ila Hana mpira wa kusema aimbwe kiivo .
Pale yanga kuna yao kwasi yule ndio mchezaj sasa yaan anakuoffer vitu vingi sana.
Yao ndie aalipaswa aimbwe sana hapo utopolo Ila sio huyo pacome.
Nyie wafuasi wake ndio mnamfananisha muwe mnaacha ujinga mdogo mdogo unaowavua nguo!Amekuambia anataka kujifananisha au unawashwa, we kweli una akili za Konkoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Ona uyu nae kwaiyo unatuchagulia wa kuimba? Wewe umemuona Yao kwakuwa pale yanga Kuna wengi wa kuimba tunakushukuru lakini sisi tumemuona zizzou na kesho kutwa tunaweza kumuimba Max au diarra ni utajiri tu tulionao wa majembe ya kazi kikosi kizima Kiko fire maanaHawawezi kukuelewa hawa jamaa .
Sijaona uhatar wake huyo pacome ni wakawaida sana Zaid saiz Ana kaupepo tu ka magoli Ila Hana mpira wa kusema aimbwe kiivo .
Pale yanga kuna yao kwasi yule ndio mchezaj sasa yaan anakuoffer vitu vingi sana.
Yao ndie aalipaswa aimbwe sana hapo utopolo Ila sio huyo pacome.
Hawawezi kukuelewa hawa jamaa .
Sijaona uhatar wake huyo pacome ni wakawaida sana Zaid saiz Ana kaupepo tu ka magoli Ila Hana mpira wa kusema aimbwe kiivo .
Pale yanga kuna yao kwasi yule ndio mchezaj sasa yaan anakuoffer vitu vingi sana.
Yao ndie aalipaswa aimbwe sana hapo utopolo Ila sio huyo pacome.
Ona uyu nae kwaiyo unatuchagulia wa kuimba? Wewe umemuona Yao tunakushukuru kwa mtazamo wako lakini sisi walengwa tumemuona zizzou, na keshokutwa tunaweza kumuimba Max au diarra ni kutokana tu na utajiri wa majembe ya kazi yaliyopo pale yanga, kumbuka usajili wetu anafanya Engineer na sio mangungu!Hawawezi kukuelewa hawa jamaa .
Sijaona uhatar wake huyo pacome ni wakawaida sana Zaid saiz Ana kaupepo tu ka magoli Ila Hana mpira wa kusema aimbwe kiivo .
Pale yanga kuna yao kwasi yule ndio mchezaj sasa yaan anakuoffer vitu vingi sana.
Yao ndie aalipaswa aimbwe sana hapo utopolo Ila sio huyo pacome.
Hiki kiwango cha wivu kina madhara Kwa Afya.Pacome is OVERRATED PLAYER mchezaji wa kawaida sana tena sana sema kwasababu anafunga watu hawawezi kuelewa labda max nzingeli ila lile ni garasa nimekaa pale.
Ona hii argument sasa.Leta hoja yenye mashiko ongea wazi bana ...mseme wazi si ni Ngoma? Majukumu ya Ngoma anayatekeleza kwny timu yake kwa asilimia 100...sasa muonekano wake unaku iritate nini yani ashindwe kufanya anachopenda kisa nyie mtamfananisha na mchezaji wenu...ur not serious... PAKOME anafanya majukumu ya ufungaji kwa sbb timu lenu halina wafungaji kaliba ya Mayele tena..inabidi awaokoe ndo maana mnamuona hero...
Uyo Ngoma wako pale yanga anaweza kupata namba kikosi Cha kwanza? Na utuambie atamuweka nani benchi, kwenu lazima aonekane hot cake kwa kuwa ndio aina ya wachezaji mlionao lazima aanze first eleven na lazima muone anatimiza majukumu yake kwa 100% kulingana na timu aliyopo but uku kwetu angekuwa anaanzia benchi kwa taarifa yako!Leta hoja yenye mashiko ongea wazi bana ...mseme wazi si ni Ngoma? Majukumu ya Ngoma anayatekeleza kwny timu yake kwa asilimia 100...sasa muonekano wake unaku iritate nini yani ashindwe kufanya anachopenda kisa nyie mtamfananisha na mchezaji wenu...ur not serious... PAKOME anafanya majukumu ya ufungaji kwa sbb timu lenu halina wafungaji kaliba ya Mayele tena..inabidi awaokoe ndo maana mnamuona hero...
Nina 50%Unampa umilik ukiwa na hisa ngap za kiwanda cha bleach?
Usikute hapo unanuka shida tu na hujui kesho utakula nn
Time will tell kwasababu mashabiki wa bongo wanachambua matukio hata nikieleza huwezi kunielewa ila lile ni garasa mashabiki walimkataa aziz ki kibu denis ayoub lakred na onana kisa takwimu sasa tufunge mjadala ila time is the best teacher.Maumivu makali sana bwana mbumbumbu ebu tupe data zako zinazoonyesha pacome ni garasa ili tuidadavue hoja yako!
Nimeshangaa wanavyomuita mfalme ngoja upepo ukate kama kwa max nzingeli waanze kelele.Hawawezi kukuelewa hawa jamaa .
Sijaona uhatar wake huyo pacome ni wakawaida sana Zaid saiz Ana kaupepo tu ka magoli Ila Hana mpira wa kusema aimbwe kiivo .
Pale yanga kuna yao kwasi yule ndio mchezaj sasa yaan anakuoffer vitu vingi sana.
Yao ndie aalipaswa aimbwe sana hapo utopolo Ila sio huyo pacome.
Yah vibonde kama AL Ahly.Kwa kuwafunga vibonde?
Ngoma aache UTAPELI WA MCHANA MCHANALeta hoja yenye mashiko ongea wazi bana ...mseme wazi si ni Ngoma? Majukumu ya Ngoma anayatekeleza kwny timu yake kwa asilimia 100...sasa muonekano wake unaku iritate nini yani ashindwe kufanya anachopenda kisa nyie mtamfananisha na mchezaji wenu...ur not serious... PAKOME anafanya majukumu ya ufungaji kwa sbb timu lenu halina wafungaji kaliba ya Mayele tena..inabidi awaokoe ndo maana mnamuona hero...
Pwilo kikwetu ni MBUMBUMBU ILIYOLALAPacome is OVERRATED PLAYER mchezaji wa kawaida sana tena sana sema kwasababu anafunga watu hawawezi kuelewa labda max nzingeli ila lile ni garasa nimekaa pale.