Super human JF-Expert Member Joined Feb 26, 2015 Posts 1,147 Reaction score 749 Apr 1, 2015 #1 Kuna dogo anasoma kupitia hii system ya QT na PC hii imekaaje wadau?
Kaplizer JF-Expert Member Joined Apr 27, 2014 Posts 720 Reaction score 582 Apr 1, 2015 #2 Yaap unaweza ila unatakiwa uwe umefaulu kwelikweli... Pia na umri usiwe above 23
Mchuja Nafaka G JF-Expert Member Joined Oct 1, 2014 Posts 763 Reaction score 253 Apr 1, 2015 #3 ukifanya mtihani kama PRIVATE CANDIDATE hauwezi kuchaguliwa shule za serikali kwa sababu haupo katika mfumo wa kuchaguliwa.
ukifanya mtihani kama PRIVATE CANDIDATE hauwezi kuchaguliwa shule za serikali kwa sababu haupo katika mfumo wa kuchaguliwa.