GOSSO MZEKEZEKE
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 180
- 204
Habari wana JF
Kuna mtoto wa dada yangu anauwezo mkubwa sana ila amesoma katika mazingira magumu sana ya kijijini lakini hajafanikiwa kufaulu vizuri.
Huku tukiendelea kusubiri selection nafikiria nimchukue aje arudie darasa la saba huku mjini ili aendelee na secondari.
Lakini kutokana na mazingira ya technolojia na majibu kutoka mtandaoni, Je anaweza kurudia darasa la saba tena au anafanyaje ili apate shule ya serikali mwakani endapo mwaka huu akikosa?
Amepata grade C. Naombeni mwenye uelewa anijuze namna ya kumsaidia.
NB; Uwezo wa kumsomesha private sina.
Kuna mtoto wa dada yangu anauwezo mkubwa sana ila amesoma katika mazingira magumu sana ya kijijini lakini hajafanikiwa kufaulu vizuri.
Huku tukiendelea kusubiri selection nafikiria nimchukue aje arudie darasa la saba huku mjini ili aendelee na secondari.
Lakini kutokana na mazingira ya technolojia na majibu kutoka mtandaoni, Je anaweza kurudia darasa la saba tena au anafanyaje ili apate shule ya serikali mwakani endapo mwaka huu akikosa?
Amepata grade C. Naombeni mwenye uelewa anijuze namna ya kumsaidia.
NB; Uwezo wa kumsomesha private sina.