KISOZIMOTO
Member
- Feb 13, 2014
- 8
- 7
mpe pole sana,tazito la ajira ni janga,ila mim namshauri kama anaweza atafute shule za private atapata kufundisha maana kuna jamaa zangu wanafundisha na wanalipwa vzr tu na co walimu,kisha akusanye pesa akasome post graduate ,akishindwa aende tu diploma maana pia nina jamaa zangu wpo diploma chuo x walisoma degree zenye ajira ngumu na wamemaliz mwaka uu.