Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Unaweza kuta mtu umetekwa kwa amani kabisa, wamekupiga wamekung'oa kucha zako vizuri
Umepambana mwenyewe, umeokotwa baadae ukiwa katika hali yako mbaya vizuri kabisa
Siasa zinaanzia hapo, watu wataanza kugombana ili kubeba credits, mara nani kakuokota, nani kakusalimia wa kwanza, nani sijui chupa ya damu kama ilikuwepo. Nani katuma hela hospitali tsh ngapi, mara kwenye scene rais huyo, mara hili mara lile.
Wakati huo wewe uko zako na drip zako na madawa kibao kwa amani kabisa.
Umepambana mwenyewe, umeokotwa baadae ukiwa katika hali yako mbaya vizuri kabisa
Siasa zinaanzia hapo, watu wataanza kugombana ili kubeba credits, mara nani kakuokota, nani kakusalimia wa kwanza, nani sijui chupa ya damu kama ilikuwepo. Nani katuma hela hospitali tsh ngapi, mara kwenye scene rais huyo, mara hili mara lile.
Wakati huo wewe uko zako na drip zako na madawa kibao kwa amani kabisa.