kosa la Waziri wa Mambo ya ndani ndie anaye jua kila kitu kuhusu hayo matatizo ya utekaji yeye ndie Mkuu wa ulinzi wa mambo ya ndani ya nchi anapaswa kulaumiwa vikali ili apate kujiuzulu nyadhifa yake ya U-Waziri wa mambo ya ndani haifanyii kazi ipasavyo.