TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Habari wadau!
Nakumbuka nilishawai kuitwa sehemu kufanya internship kwa ahadi nikimaliza internship nitapata ajira.
Ila baada ya HR kivuli kustukia mchongo likaanza zwenge la kunishinikiza nitoe pesa ili nipewe kazi binafsi sio muumini wa rushwa; nilikataa hapo ukaanza mvutano kati ya head of department na HR baadaye nikaona isiwe kesi nikawaaga tu.
Huku nyuma jamaa wakanifuata wakanambia mpe hela mmalizane na HR mbona hata sisi tumeingia na hela wewe vipi. Nikawajibu siwezi kufanya ujinga huo, elimu ninunue mpaka kazi nayo ninunue? Basi wakaniona boya sana.
Swali, je unaweza toa pesa ili upate ajira na unahakikisha vipi kwamba hautatapeliwa?
Nakumbuka nilishawai kuitwa sehemu kufanya internship kwa ahadi nikimaliza internship nitapata ajira.
Ila baada ya HR kivuli kustukia mchongo likaanza zwenge la kunishinikiza nitoe pesa ili nipewe kazi binafsi sio muumini wa rushwa; nilikataa hapo ukaanza mvutano kati ya head of department na HR baadaye nikaona isiwe kesi nikawaaga tu.
Huku nyuma jamaa wakanifuata wakanambia mpe hela mmalizane na HR mbona hata sisi tumeingia na hela wewe vipi. Nikawajibu siwezi kufanya ujinga huo, elimu ninunue mpaka kazi nayo ninunue? Basi wakaniona boya sana.
Swali, je unaweza toa pesa ili upate ajira na unahakikisha vipi kwamba hautatapeliwa?