Unaweza kutoa pesa ili kupata ajira? Ni vipi utahakikisha kuwa hautapeliwi?

Unaweza kutoa pesa ili kupata ajira? Ni vipi utahakikisha kuwa hautapeliwi?

Siwezi toa rushwa nipate kazi hata siku moja boss elimu yangu sikuipata kwa sandakalawe.1.7 O-level 1.6 A-level harafu nije ninunue kazi .
Kwa hyo sa hivi Hapo TAKUKURU Wanasemaje?[emoji23][emoji23] Mkono mtupu haulambwi boss upo ?mimi na one km hizo zako na juzi nmepata kazi Taasis moja kubwa na Gross 1.8m mlungula mishahara yangu ya miezi miwili na nina dunda wala sina shida
 
Kwa hyo sa hivi Hapo TAKUKURU Wanasemaje?[emoji23][emoji23] Mkono mtupu haulambwi boss upo ?mimi na one km hizo zako na juzi nmepata kazi Taasis moja kubwa na Gross 1.8m mlungula mishahara yangu ya miezi miwili na nina dunda wala sina shida
🙄🙄🙄🙄🙄
 
Siwezi toa rushwa nipate kazi hata siku moja boss elimu yangu sikuipata kwa sandakalawe.1.7 O-level 1.6 A-level harafu nije ninunue kazi .
Kuna kila dalili unakula ugali wa kengele nyumbani, tena kwa kubembelezwa.

We una watoto wanadaiwa ada mke hana kazi, wazazi meseji za kutaka uwasaidie na missed call zimejaa kibao, mwenye nyumba anakupigia kila uchwao, umemsoundisha mpk kachoka kiasi ukiona simu yake roho unahisi inataka kutoka, ndani kuna sukari tu nusu kilo na unga robo vimebaki. Unatoa wapi huo ujasiri hata wa kukumbuka umepata grade gani shuleni. Yaani ije fursa kama hy na ukiipima inaonekana kbs chances za kupata hy kazi ni 90/100 , unaachaje
 
Kuna kila dalili unakula ugali wa kengele nyumbani, tena kwa kubembelezwa.

We una watoto wanadaiwa ada mke hana kazi, wazazi meseji za kutaka uwasaidie na missed call zimejaa kibao, mwenye nyumba anakupigia kila uchwao, umemsoundisha mpk kachoka kiasi ukiona simu yake roho unahisi inataka kutoka, ndani kuna sukari tu nusu kilo na unga robo vimebaki. Unatoa wapi huo ujasiri hata wa kukumbuka umepata grade gani shuleni. Yaani ije fursa kama hy na ukiipima inaonekana kbs chances za kupata hy kazi ni 90/100 , unaachaje
Changia mada km inavyouliza ,mbona mnanishambulia mm tu.Huo ndio umsimamo wangu hata niwe na njaa vipi siwezi toa au pokea rushwa 🙄🙄
 
Sio kweli, ingekuwa siku nyingi usingekumbuka matokeo ya sekondari.
Hayo lazima niyakumbuke babu hata nikizeeka masomo 11 nilisoma nikagonga 1.7 ya sayansi unaanzaje kusahau .Hachana na zile 1.7 za masomo saba za arts.😁😁😁
 
Habari wadau!

Nakumbuka nilishawai kuitwa sehemu kufanya internship kwa ahadi nikimaliza internship nitapata ajira.

Ila baada ya HR kivuli kustukia mchongo likaanza zwenge la kunishinikiza nitoe pesa ili nipewe kazi binafsi sio muumini wa rushwa; nilikataa hapo ukaanza mvutano kati ya head of department na HR baadaye nikaona isiwe kesi nikawaaga tu.

Huku nyuma jamaa wakanifuata wakanambia mpe hela mmalizane na HR mbona hata sisi tumeingia na hela wewe vipi. Nikawajibu siwezi kufanya ujinga huo, elimu ninunue mpaka kazi nayo ninunue? Basi wakaniona boya sana.

Swali, je unaweza toa pesa ili upate ajira na unahakikisha vipi kwamba hautatapeliwa?
Ukipata namba ya huyo HR nitumie pls.
Niko kwenye mchakato wa hivyo .HR akinipa kazi Dar ,nipate uhakika tuu namtoa 400k on the spot
 
Ukipata namba ya huyo HR nitumie pls.
Niko kwenye mchakato wa hivyo .HR akinipa kazi Dar ,nipate uhakika tuu namtoa 400k on the spot
Kampuni zinazoendekeza rushwa huwa hazina maisha marefu ,wako mbioni kufunga operation nasikia wamefilisika .
 
Mbona unakimbia swali,wakati ww ulisema mm ni boya nimekataa kutoa rushwa wakati wengine wanatoa mpk kwa Mpalange ,kauli yako inaonyesha wazi una uzoefu na mambo ya ajira na kwa Mpalange😂😂😂😂
Aiseee,.kweli kuna tofauti kati ya A ya darasani na A ya maisha...muwe mnasoma comments na kuzielewa msiwe mnakurupuka tuu kisa umeona neno fulani limetumika..
 
Aiseee,.kweli kuna tofauti kati ya A ya darasani na A ya maisha...muwe mnasoma comments na kuzielewa msiwe mnakurupuka tuu kisa umeona neno fulani limetumika..
Sawa,nimekuuliza sababu najua labda kuna best ako alienda kwa Mpalange kutafuta kazi.Kwani kuna ubaya ukitupa ubuyu😂😂😂
 
Habari wadau!

Nakumbuka nilishawai kuitwa sehemu kufanya internship kwa ahadi nikimaliza internship nitapata ajira.

Ila baada ya HR kivuli kustukia mchongo likaanza zwenge la kunishinikiza nitoe pesa ili nipewe kazi binafsi sio muumini wa rushwa; nilikataa hapo ukaanza mvutano kati ya head of department na HR baadaye nikaona isiwe kesi nikawaaga tu.

Huku nyuma jamaa wakanifuata wakanambia mpe hela mmalizane na HR mbona hata sisi tumeingia na hela wewe vipi. Nikawajibu siwezi kufanya ujinga huo, elimu ninunue mpaka kazi nayo ninunue? Basi wakaniona boya sana.

Swali, je unaweza toa pesa ili upate ajira na unahakikisha vipi kwamba hautatapeliwa?
Katika kitu ambacho umefanikiwa mpaka sasa ni kukataa rushwa kitu ambacho Mimi napambana nacho maana nimeshalizwa saana na rushwa kwenye kuomba kazi au kufanikisha Jambo japo mara nyingi pia nimefanikiwa kupitia hizo.

Mfano juzi nilikua na ishu ya kwenda Finland jamaa kanipiga mpunga alafu kasepa nimeumia ila nkasema acha nkomeshwe kwakupenda mkato. So Muombe Mungu akaze imani yako
 
Katika kitu ambacho umefanikiwa mpaka sasa ni kukataa rushwa kitu ambacho Mimi napambana nacho maana nimeshalizwa saana na rushwa kwenye kuomba kazi au kufanikisha Jambo japo mara nyingi pia nimefanikiwa kupitia hizo.

Mfano juzi nilikua na ishu ya kwenda Finland jamaa kanipiga mpunga alafu kasepa nimeumia ila nkasema acha nkomeshwe kwakupenda mkato. So Muombe Mungu akaze imani yako
Pole sana mkuu,rushwa sio nzuri kabisa sema watu hawajui tu.Yaani unampa mtu hela harafu unaenda kumfanyia kazi.
 
Katika kitu ambacho umefanikiwa mpaka sasa ni kukataa rushwa kitu ambacho Mimi napambana nacho maana nimeshalizwa saana na rushwa kwenye kuomba kazi au kufanikisha Jambo japo mara nyingi pia nimefanikiwa kupitia hizo.

Mfano juzi nilikua na ishu ya kwenda Finland jamaa kanipiga mpunga alafu kasepa nimeumia ila nkasema acha nkomeshwe kwakupenda mkato. So Muombe Mungu akaze imani yako
Ulipigwa kiasi gani mkuu,kwenye harakati za kuingia Finland?
 
Achana na kutoa hela.....

Wanaweza wakala hela na usipate mkataba....

Acha uwezo wako uliounesha kwenye internship uwe kigezo cha wewe kupata kazi.....

Kwa sisi watu wa sheria ,kutoa na kupokea rushwa au agreement zote za kupeana rushwa ni illegal agreement/contracts.

Hence hakuna mahakama yeyote au mtu yeyote atakusikiliza kama utatapeliwa hela sababu ya makubaliano ya kupata kazi.
 
Back
Top Bottom