Minja Ngalason
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 1,284
- 1,839
Kwa hyo sa hivi Hapo TAKUKURU Wanasemaje?[emoji23][emoji23] Mkono mtupu haulambwi boss upo ?mimi na one km hizo zako na juzi nmepata kazi Taasis moja kubwa na Gross 1.8m mlungula mishahara yangu ya miezi miwili na nina dunda wala sina shidaSiwezi toa rushwa nipate kazi hata siku moja boss elimu yangu sikuipata kwa sandakalawe.1.7 O-level 1.6 A-level harafu nije ninunue kazi .
๐๐๐๐๐Kwa hyo sa hivi Hapo TAKUKURU Wanasemaje?[emoji23][emoji23] Mkono mtupu haulambwi boss upo ?mimi na one km hizo zako na juzi nmepata kazi Taasis moja kubwa na Gross 1.8m mlungula mishahara yangu ya miezi miwili na nina dunda wala sina shida
Kuna kila dalili unakula ugali wa kengele nyumbani, tena kwa kubembelezwa.Siwezi toa rushwa nipate kazi hata siku moja boss elimu yangu sikuipata kwa sandakalawe.1.7 O-level 1.6 A-level harafu nije ninunue kazi .
Changia mada km inavyouliza ,mbona mnanishambulia mm tu.Huo ndio umsimamo wangu hata niwe na njaa vipi siwezi toa au pokea rushwa ๐๐Kuna kila dalili unakula ugali wa kengele nyumbani, tena kwa kubembelezwa.
We una watoto wanadaiwa ada mke hana kazi, wazazi meseji za kutaka uwasaidie na missed call zimejaa kibao, mwenye nyumba anakupigia kila uchwao, umemsoundisha mpk kachoka kiasi ukiona simu yake roho unahisi inataka kutoka, ndani kuna sukari tu nusu kilo na unga robo vimebaki. Unatoa wapi huo ujasiri hata wa kukumbuka umepata grade gani shuleni. Yaani ije fursa kama hy na ukiipima inaonekana kbs chances za kupata hy kazi ni 90/100 , unaachaje
Acha uongo.Changia mada km inavyouliza ,mbona mnanishambulia mm tu.Huo ndio umsimamo wangu hata niwe na njaa vipi siwezi toa au pokea rushwa ๐๐
Kisa hichi ni cha zamani kidogo kwa ss nina shughuri zangu, maisha yangu na familia na watoto maisha yanaenda.
Hayo lazima niyakumbuke babu hata nikizeeka masomo 11 nilisoma nikagonga 1.7 ya sayansi unaanzaje kusahau .Hachana na zile 1.7 za masomo saba za arts.๐๐๐Sio kweli, ingekuwa siku nyingi usingekumbuka matokeo ya sekondari.
๐๐๐wahuni atucheleweshiNamtia jiwe la kichwa kama mm ndio operator wa kijiko ,harafu najifanya bahati mbaya๐๐๐๐๐
Ukipata namba ya huyo HR nitumie pls.Habari wadau!
Nakumbuka nilishawai kuitwa sehemu kufanya internship kwa ahadi nikimaliza internship nitapata ajira.
Ila baada ya HR kivuli kustukia mchongo likaanza zwenge la kunishinikiza nitoe pesa ili nipewe kazi binafsi sio muumini wa rushwa; nilikataa hapo ukaanza mvutano kati ya head of department na HR baadaye nikaona isiwe kesi nikawaaga tu.
Huku nyuma jamaa wakanifuata wakanambia mpe hela mmalizane na HR mbona hata sisi tumeingia na hela wewe vipi. Nikawajibu siwezi kufanya ujinga huo, elimu ninunue mpaka kazi nayo ninunue? Basi wakaniona boya sana.
Swali, je unaweza toa pesa ili upate ajira na unahakikisha vipi kwamba hautatapeliwa?
Kampuni zinazoendekeza rushwa huwa hazina maisha marefu ,wako mbioni kufunga operation nasikia wamefilisika .Ukipata namba ya huyo HR nitumie pls.
Niko kwenye mchakato wa hivyo .HR akinipa kazi Dar ,nipate uhakika tuu namtoa 400k on the spot
Wewe je, utatoa mauno kama yote...??Kwa hiyo na wewe ukiambiwa upelekwe kwa Mpalange upewe kazi,unatoa ushirikiano na mauno kama yote au๐๐๐๐
Mbona unakimbia swali,wakati ww ulisema mm ni boya nimekataa kutoa rushwa wakati wengine wanatoa mpk kwa Mpalange ,kauli yako inaonyesha wazi una uzoefu na mambo ya ajira na kwa Mpalange๐๐๐๐Wewe je, utatoa mauno kama yote...??
Aiseee,.kweli kuna tofauti kati ya A ya darasani na A ya maisha...muwe mnasoma comments na kuzielewa msiwe mnakurupuka tuu kisa umeona neno fulani limetumika..Mbona unakimbia swali,wakati ww ulisema mm ni boya nimekataa kutoa rushwa wakati wengine wanatoa mpk kwa Mpalange ,kauli yako inaonyesha wazi una uzoefu na mambo ya ajira na kwa Mpalange๐๐๐๐
Sawa,nimekuuliza sababu najua labda kuna best ako alienda kwa Mpalange kutafuta kazi.Kwani kuna ubaya ukitupa ubuyu๐๐๐Aiseee,.kweli kuna tofauti kati ya A ya darasani na A ya maisha...muwe mnasoma comments na kuzielewa msiwe mnakurupuka tuu kisa umeona neno fulani limetumika..
Katika kitu ambacho umefanikiwa mpaka sasa ni kukataa rushwa kitu ambacho Mimi napambana nacho maana nimeshalizwa saana na rushwa kwenye kuomba kazi au kufanikisha Jambo japo mara nyingi pia nimefanikiwa kupitia hizo.Habari wadau!
Nakumbuka nilishawai kuitwa sehemu kufanya internship kwa ahadi nikimaliza internship nitapata ajira.
Ila baada ya HR kivuli kustukia mchongo likaanza zwenge la kunishinikiza nitoe pesa ili nipewe kazi binafsi sio muumini wa rushwa; nilikataa hapo ukaanza mvutano kati ya head of department na HR baadaye nikaona isiwe kesi nikawaaga tu.
Huku nyuma jamaa wakanifuata wakanambia mpe hela mmalizane na HR mbona hata sisi tumeingia na hela wewe vipi. Nikawajibu siwezi kufanya ujinga huo, elimu ninunue mpaka kazi nayo ninunue? Basi wakaniona boya sana.
Swali, je unaweza toa pesa ili upate ajira na unahakikisha vipi kwamba hautatapeliwa?
Pole sana mkuu,rushwa sio nzuri kabisa sema watu hawajui tu.Yaani unampa mtu hela harafu unaenda kumfanyia kazi.Katika kitu ambacho umefanikiwa mpaka sasa ni kukataa rushwa kitu ambacho Mimi napambana nacho maana nimeshalizwa saana na rushwa kwenye kuomba kazi au kufanikisha Jambo japo mara nyingi pia nimefanikiwa kupitia hizo.
Mfano juzi nilikua na ishu ya kwenda Finland jamaa kanipiga mpunga alafu kasepa nimeumia ila nkasema acha nkomeshwe kwakupenda mkato. So Muombe Mungu akaze imani yako
Ulipigwa kiasi gani mkuu,kwenye harakati za kuingia Finland?Katika kitu ambacho umefanikiwa mpaka sasa ni kukataa rushwa kitu ambacho Mimi napambana nacho maana nimeshalizwa saana na rushwa kwenye kuomba kazi au kufanikisha Jambo japo mara nyingi pia nimefanikiwa kupitia hizo.
Mfano juzi nilikua na ishu ya kwenda Finland jamaa kanipiga mpunga alafu kasepa nimeumia ila nkasema acha nkomeshwe kwakupenda mkato. So Muombe Mungu akaze imani yako
Tunakosa imani kulingana na mazingira magumu... Tukivumilia Mungu ni mwaminifuPole sana mkuu,rushwa sio nzuri kabisa sema watu hawajui tu.Yaani unampa mtu hela harafu unaenda kumfanyia kazi.
Mia tano Mzee kiss kazi ya kuvuna makabichi hukoUlipigwa kiasi gani mkuu,kwenye harakati za kuingia Finland?