mr_stev001
Senior Member
- Feb 4, 2023
- 159
- 220
- Thread starter
-
- #21
Kama ndie aliyekutambulisha kwa huyo mchumba kuna shida gani akiwa na namba? Maana hata namba alikupa yeye
hiyo ndo changamoto kuna wakati unaweza kuwa hajawhi kuw wako ila unamtamn tyuKama nitakuwa nayo mawili
1) Aliwahi kuwa mchepuko wangu sasa wa rafiki yangu.
2) Namuweka kwenye line kumla shemegi.
3) Hatuna la kuongea na shemegi delete faster.
sio sahihi ila endapo ilitokea basi punguza mazoea sana na rafiki zako.Una rafikiako, je ni haki kuwa na no za simu za mpenzi wako maan au mpenz wako kuwa na no za rafiki ako?
[emoji736][emoji736]
kweli apo umenenoo liko sawaa hilosio sahihi ila endapo ilitokea basi punguza mazoea sana na rafiki zako.
washindwe kukuelewa wewe ni mtu wa simple gani ili uwachanganye