Unaweza Kuwatambua Hawa?

Pumba Express!!
 
...sidhani kama tunawajua kwa sura......

Madame X ume-generalize mno. Ungesema 'huwajui'.
Mie nawafahamu.
Kuna Sauda Simba, Rukia Mtingwa, Julius Nyaisanga, Marehemu John Ngahyoma, Suzane Mungy.
 

Madame X ume-generalize mno. Ungesema 'huwajui'.
Mie nawafahamu.
Kuna Sauda Simba, Rukia Mtingwa, Julius Nyaisanga, Marehemu John Ngahyoma, Suzane Mungy.

mkuu samahani kidogo kuna wanawake wangapi hapo ktk picha????
 
Vipi na Misanya bingi mzee wa 'chipindi hichi...' aliishia wapi?
 
Vipi na Misanya bingi mzee wa 'chipindi hichi...' aliishia wapi?
 
Hivi na wewe hujui kama siku hizi kuna Effect ya kuifanya picha itokee unavyotaka?
Hapo namuona uncle J, Suzan Mungi na marehemu John Ngahyoma R.I.P.

Acha ubishi wewe watu wengine mkoje aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…