Uchaguzi 2020 Unaweza usiaminiI CHADEMA kusumbua sana uchaguzi mkuu 2020 kuibuka kidedea

Ni kwasababu hakutakuwa na uchaguzi bali uchafuzi na uhuni, vinginevyo CCM itaagukia pua ndio maana Magufuli aliagiza wakurugenzi ushindi wa lazima eti kisa wanalipwa na serikali ya CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzako wote wameuchuna!
 
Naamini mwaka huu watakuwa vizuri zaidi. Jiwe anavutiwa pumzi tu. Hata Waitara mwenyewe najua atarudi upinzani - subirini mtaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…