Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
-
- #21
ndio walimwenguMtu kashuka vizuri na Uzi wake murua,alafu Kuna muhuni mmoja kwenye comment ya pili tu anakuja kuchanganya madawa na swali la kukata moto kabisa.
Eti "ushapona tatizo la kuwa na harufu Kali?"
Nimecheka sana asee!!
Ila mi kwa sasa nimeacha mazima mi pepo lipo kwa mashangazi tuuuusex addiction...hilo ni pepo sawa na kuangalia porn na nyeto unasema leo mara ya mwisho lakini wapi ukishika smart na huku una bundle dronedrake Poor Brain 🤣🤣🤣
na ulivo na akili jujuuu ww jishikilie dogoIla mi kwa sasa nimeacha mazima mi pepo lipo kwa mashangazi tuuuu
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 Daahna ulivo na akili jujuuu ww jishikilie dogo
ha ha ha😂😂😂😂😂🙌🙌🙌 Daah
Kwa sababu nimejaribu njia nyingi hata hiyo ambayo hujashauri wwkaka wewe ni mgonjwa why,ujichagulie dawa?how come unadhani ideology ndiyo itakuondoa huko?
Mkuu nimekuelewaKubadilisha maisha mazima ni kuwa na ule msukumo wa ndani kabisa wa kufanya maamuzi kuliendea jambo fulani au kufanya jambo fulani
Watu wengi tunajua nini cha kufanya ili tubadili maisha yetu kutokana na tabia fukani fulani lakini hatuna msukumo wa ndani kufanya mabadiliko hayo
Mfano umesema unapenda fast food / madada poa lakini unajua kwamba huo sio muenendo mzuri na unataka kuachana nao,,,kwahiyo unachohitaji hapo ni nyenzo na msukumo toka ndani ya nafsi yako kuamua kuachana na tabia hiyo,,,hao walioweza hawakuwa na nguvu za ajabu zaidi ya kuamua kubadilisha mwenendo wa maisha yao,,hata wewe pia unaweza
Unajua nini mwamba? Tofauti ya waliofanikiwa kubadilisha maisha yao mazima ni MAAMUZI YA KUFANYA NA KUTOFANYA,,,,wao wameamua kufanya na wengine wameamua kutofanya na hiyo ndio tofauti
Mfano huyo rafiki yako amekwambia ana mtu wake toka shule ya msingi na ndio anataka kumuoa,,,yeye aliamua kuwa na mtu mmoja tu na akalisimamia hilo,,,tofauti na wewe ambaye uliamua kuwa na wachumba wengi wa fast food na ukalisimamia hilo,,,ishu hapo ni maamuzi ya dhati kuliendea jambo fulani
Haijalishi utapata falsafa ngapi au kufuata falsafa gani ila kama huna maamuzi ya dhati ambayo utayasimamia basi usitegemee maisha yatabadilika
Ni hayo tu!
PM number yako, tupate discussion ya Dk kumi nikupe mbinu na a way forward ktk hilo.Mkuu hata kufiri tu lazima kitu kitokee ndio unaweza badili namna ya kufiri
Ukiwa unatembea na Machangudoa, huwezi kukosa ka harufu fulani kanakokera. Kumbe jibu la suala lako ni hiloWakuu nina swali??
LEO KATIKA PITA PITA ZANGU
Nimekutana mtandao (Whatsapp status) na dogo mmoja tulikutana ofice moja hapa jijini wakat nasajili campuni yetu.Kwakua yeye alikua very educated kwene haya maswala niliomba namba yake awe ananisaidia maana wao ndo walikua wanamalizia usajili namm nilikua naanza.
Sasa imepita kama miez mitatu leo nimeview status yake nikakuta amepost demu wake mzuri mzuri namm na umalaya wangu nikaanza kumtania mwanangu unamademu wakali uwe unanilink aisee
Maana ana postigi watoto wakali sana tofauti tofauti. Kwa ufuska wangu nikajua anawala au ana date nao.
Cha kushangaza aliniambia
“Bro mimi hawa si mademu zangu ni rafiki wa chuo wengine ndugu zangu mi nina demu mmoja tu tangu niko msingi na ndo nitakuja kumuoa”
Alimaliza kuniambia… aisee sikuamini nikajaribu kumdadisi akanijibu
“Wanawake ni wale wale ile kitu ni ile ile hamna haja ya kuhangaika na starehe ya muda mfupi maana hata kama kitu kitamu vipi kitaisha tu,,,,,,
Pia kuna hii post
“No matter how the food
might be delicious, it must be
finished and you remain with
empty and dirty plate. So, don't
allow the pleasures of this
world to consume your soul.
Everything on this world must perish”
Hii imenifanya nikumbuke maisha yangu ya uasherati”
Nimetembea na mademu wengi lakini ukiniuliza faida hata moja hamna zaidi nimekua siwezi kutulia kwene mahusiano , nimepata matatzio makubwa yaliyoharibu afya yangu na makovu ya mwili
Ni mwaka 2013 nilikua nimekaa room ya watu wanne chuo ambapo nilinunua smartphone kwa mara ya kwanza.
Ilikua ni tecno nadhan ndo zilikua smarphone za kwanza kwanza kwene ulimwengu wa smartphone kwa techno kwa tz. Darasan kwetu walikua nazo watu kama kumi tu huku wengine wakisongesha na viswaswadi….
Ni katika simu hii ya smartphone nilijikuta nimekula mademu wengi mtandaoni kwani ilikua ni rahisi kumtongoza mwanamke usiyejuana nae kwa kuangalia tu location yake.
Hivo ililua inanipa urahisi wakufanya ufuska.
10 years later nimejua ni yale maamuzi ya siku moja ndio yalibadirisha maisha yangu daima hadi leo kupenda “Fast food”.. au dada poa.
Siwezi ilaumu simu ila nalaumu hiyo ideology niliyoishikiria iliyonifanya nikawa mtu wa hivo na kujikuta nataman kulala na kila mwanamke niliyeweza kumfikia.
Kwa kua sikua napenda mahusiano na usiri hivo sikua nadate au na wanawake maeneo ya chuo. Nilikua nachek mtandaoni na kuwapanga kila nilioohitaji mwisho ikawa tabia.
TOO BAD……..
KUNA JAMAA NILIMUONA BBC
Jamaa anaitwa “John Francis“ alikaa miaka 17 bila kuongea.Na sababu ilikua alijifunza watu hawataki kusikiliza wala hawatak kujua akaamua kukaa kimya .
Ukitaka hii story google ipo moja tu utamuona na kusoma zaidi.
NINI KINAFANYA WATU WACHUKUE UAMUZI HUU AU ITIKADI FULANI
kuchukua maamuzi mazito au yatayobadilisha maisha yako milele si jambo jepesi wala si jambo la kusema nimeamua.
Uamuzi huu hufikiwa kutokana na vitu kadhaa
1.Matatizo makubwa yanayokupa funzo la maisha
2.Aina fulan ya imani ya muda mrefu ya mtu
3.Sababu muhimu
NINI NAHITAJI
Nahitaji nipate mlengo fulani au falsafa ya maisha ambayo itakua ni chachu ya kubadili maisha yangu.Hapa siongelei dini za kina modi au wagalatia No
Falsafa kama za marastafarai, au itikadi fulan nzito nzito ambazo zitafanya niayaone maisha tofauti kabisa.
Itikadi zitazoniingia na kupelekea kubadili maisha mazima.
zinaweza kua kuhusu maisha, lifestyle, hela, wanawake , nk ambazo zinaleta impact kumbwa
uko serious?PM number yako, tupate discussion ya Dk kumi nikupe mbinu na a way forward ktk hilo.
we n bikra hapo??Ukiwa unatembea na Machangudoa, huwezi kukosa ka harufu fulani kanakokera. Kumbe jibu la suala lako ni hilo
Ref:
Nina jasho lenye harufu kali sana. Je, kuna dawa ya kutibu tatizo hili?
Wakuu, Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale. Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi. vitu ninavoogea 1. Deto ya maji 2. Sabuni ya mikono 3. Medicated soap Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako...www.jamiiforums.com
Mimi nimekueleza chanzo cha harufu mbaya. Ukiacha kuhangaika na machangudoa harufu itakoma.we n bikra hapo??
umetembea na watu wangap?
Changudoa n anaejiuza tofauti n kujiuza lakini mtu yule yule akigawa bure anaitwa malaya!!
So hao uliotembea nao unajua wamewapea watu wangap
😅😅😅😂😂😂mkuu sina hilo tatizo si kila mada hapa ni zangu zingine napost kwa niabaMimi nimekueleza chanzo cha harufu mbaya. Ukiacha kuhangaika na machangudoa harufu itakoma.
Kama ni hivyo unaboa!😅😅😅😂😂😂mkuu sina hilo tatizo si kila mada hapa ni zangu zingine napost kwa niaba
Fanya semen retention kwanza😅😅😅😂😂😂mkuu sina hilo tatizo si kila mada hapa ni zangu zingine napost kwa niaba