mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
Wakuu tumegeane maujuzi hapa maana mara nyingi unakuta watu hawa wana wenzi wao au inakuwa ni geresha tu ya kuwababaisha walimwengu huku nje lakin huko ndani wanalala vitanda tofauti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hojaAna gubu- muache na gubu lake fanya mambo mengine.
Mjuaji na mbishi- muachie ujuaji wake.
Haambiliki- usimwambie chochote.
Naungana na Smart911 hapo, mambo yake muachie mwenyewe.
Observe total silence or talk less and never argue with the personWakuu tumegeane maujuzi hapa maana mara nyingi unakuta watu hawa wana wenzi wao au inakuwa ni geresha tu ya kuwababaisha walimwengu huku nje lakin huko ndani wanalala vitanda tofauti?
Watu wa aina hio ishi nao kwa kutimiza majukumu yako ya kazi no mazoea just salam then kimya ongea pale panapo stahili pasipo kaa kimya very easy.Wakuu tumegeane maujuzi hapa maana mara nyingi unakuta watu hawa wana wenzi wao au inakuwa ni geresha tu ya kuwababaisha walimwengu huku nje lakin huko ndani wanalala vitanda tofauti?
Hii comment yako Umefunga mjadala 😊Observe total silence or talk less and never argue with the person
Uko wap?Ana gubu- muache na gubu lake fanya mambo mengine.
Mjuaji na mbishi- muachie ujuaji wake.
Haambiliki- usimwambie chochote.
Naungana na Smart911 hapo, mambo yake muachie mwenyewe.
Mtoa mada mwenyewe ni mlinzi mlala fofofo unategemea niniAna gubu- muache na gubu lake fanya mambo mengine.
Mjuaji na mbishi- muachie ujuaji wake.
Haambiliki- usimwambie chochote.
Naungana na Smart911 hapo, mambo yake muachie mwenyewe.
Ndio alale sasa aachane na mambo mengineMtoa mada mwenyewe ni mlinzi mlala fofofo unategemea nini
Ntakupigia nipo kwenye mwenge kuna keleleeeUko wap?
Mkuu kila mtu ni mtata bt ubinafsi hutufanya tusiuone udhaifu wetu.Wakuu tumegeane maujuzi hapa maana mara nyingi unakuta watu hawa wana wenzi wao au inakuwa ni geresha tu ya kuwababaisha walimwengu huku nje lakin huko ndani wanalala vitanda tofauti?