Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
Wakuu heshima kwenu.
Well, kama mada inavyojieleza wakuu kama una gari may be umenunua show room au mkononi kwa mtu utajuaje kuwa Inaingiza lita ngapi pale utapokuwa umejaza full tank?
Nawasilisha.
Well, kama mada inavyojieleza wakuu kama una gari may be umenunua show room au mkononi kwa mtu utajuaje kuwa Inaingiza lita ngapi pale utapokuwa umejaza full tank?
Nawasilisha.