Unawezaje kujua kuku kama amegongwa na nyoka baada ya kumchinja?

Unawezaje kujua kuku kama amegongwa na nyoka baada ya kumchinja?

Lastmost

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2022
Posts
802
Reaction score
919
Unawezaje kujua kuku kama amegongwa na nyoka baada ya kumchinja?

Wakuu leo asubuhi bandani kwa kuku nilisikia kuku wakirukaruka, kelele kama wanapigana na vurugu, baada ya kufungua Banda nimemkuta kuku mmoja akiwa taabani,ikabidi nimuwahi kisu kabla hajakata Moto.

Sasa sijajua ni nini kimempata.

Nahofia isije kuwa amegongwa na nyoka labda na kama ni nyoka jee nitaweza ona dalili zozote?

Ni kuku wa kienyeji, naomba kwa anayejua dalili za kuku aliyegongwa na nyoka anijulishe.
 
Mnajibu kipumbavu Sana. Jamaa ameleta mada ya maana Sana Cha ajabu mnajibu kama mapumbavu. Vyuo vifunguliwe mkakojoleane huko.

Kwa ufupi ni kwamba watu tuepuke kula utumbo wa Hawa ndege. Utumbo haupimwi kujua tatizo ni vema Kuku akitoka kuumwa na ukaamua kumfanga kitoweo epuka matumbo yake.

Itatakiwa kufikia wakati hata akiwa anaumwa so vema Sana kumla. Tunashauriwa tuwape tiba na wakipona ina maana uhai Upo tukae siku kadhaa(5) tuwape maji mengi wanywe baadae ndio tuchinje tule.

Kuna wanyama ambao matumbo Yao ni safi kabisa wale mbuzi na walao majani. Mbuzi anapenda majani ambayo wewe ukila ni machungu Sana. Dawa za miti shamba au majani ni machungu na ni dawa. Labda nasema labda sijathibitisha. Yumkini Hawa wanyama wakila vitu vibaya tutaona kupitia kupoteza uhai, kuchunguza athari kwenye viungo vya ndani baada ya kuwafanyia upasuaji
 
Mnajibu kipumbavu Sana. Jamaa ameleta mada ya maana Sana Cha ajabu mnajibu kama mapumbavu. Vyuo vifunguliwe mkakojoleane huko.

Kwa ufupi ni kwamba watu tuepuke kula utumbo wa Hawa ndege. Utumbo haupimwi kujua tatizo ni vema Kuku akitoka kuumwa na ukaamua kumfanga kitoweo epuka matumbo yake.

Itatakiwa kufikia wakati hata akiwa anaumwa so vema Sana kumla. Tunashauriwa tuwape tiba na wakipona inamaana uhai Upo tukaensiku kadhaa ndio tuchinje tule.

Kuna wanyama ambao matumbo Yao ni safi kabisa wale mbuzi na wanllao majani. Mbuzi anapenda majani ambayo wewe ukila ni machungu Sana. Dawa za miti shamba au majani ni machungu na ni dawa. Labda nasema labda sijathibitisha. Yumkini Hawa wanyama wakila vitu vibaya tutaona kupitia kupoteza uhai, kuchunguza athari kwenye viungo vya ndani baadaya kuwafanyia upasuaji
Asante mkuuu,nyama ni tamu Ila umakini ni muhimu
 
Unawezaje kujua kuku kama amegongwa na nyoka baada ya kumchinja?

Wakuu Leo asubuhi bandani kwa kuku nilisikia kuku wakirukaruka, kelele kama wanapigana na vurugu, baada ya kufungua Banda nimemkuta kuku mmoja akiwa taabani,ikabidi nimuwahi kisu kabla hajakata Moto.

Sasa sijajua ni nini kimempata.

Nahofia isije kuwa amegongwa na nyoka labda na kama ni nyoka jee nitaweza ona dalili zozote?

Ni kuku wa kienyeji, naomba kwa anayejua dalili za kuku aliyegongwa na nyoka anijulishe.
Mkuu uchu utakuua.

Peleka huyo kuku veterinary wakampime au fukia
 
Unawezaje kujua kuku kama amegongwa na nyoka baada ya kumchinja?

Wakuu Leo asubuhi bandani kwa kuku nilisikia kuku wakirukaruka, kelele kama wanapigana na vurugu, baada ya kufungua Banda nimemkuta kuku mmoja akiwa taabani,ikabidi nimuwahi kisu kabla hajakata Moto.

Sasa sijajua ni nini kimempata.

Nahofia isije kuwa amegongwa na nyoka labda na kama ni nyoka jee nitaweza ona dalili zozote?

Ni kuku wa kienyeji, naomba kwa anayejua dalili za kuku aliyegongwa na nyoka anijulishe.
Ebu fanya kutuletea hospital ya rufaa hapa temeke tumpime hapa maabara.🙄🙄🙄
 
Asante bosss,nafukia mkuu
Pia fahamu kwamba nyoka hupenda kuzengea kuku walipo ili wabugie mayai.

Siku moja chemsha yai weka eneo kuku wanapotagia kisha subiri matokeo. Fanya hivyo iwapo unahisi mayai ya kuku yanapungua mistiriazly
 
Pia fahamu kwamba nyoka hupenda kuzengea kuku walipo ili wabugie mayai.

Siku moja chemsha yai weka eneo kuku wanapotagia kisha subiri matokeo. Fanya hivyo iwapo unahisi mayai ya kuku yanapungua mistiriazly
Itakuwaje mkuu ebu fafanua kidogo
 
Back
Top Bottom