maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
Mungu ni mwema kwa wote.
Najiuliza unawezaje kula chakula ulichopika mwenyewe maana mi chakula nikipika kwa mikono yangu siwezi kukila yaani kinanikinai mapema.
Nyie kwenu vipi mnatumia mbinu gani kula chakula ulichopika mwenyewe.
Najiuliza unawezaje kula chakula ulichopika mwenyewe maana mi chakula nikipika kwa mikono yangu siwezi kukila yaani kinanikinai mapema.
Nyie kwenu vipi mnatumia mbinu gani kula chakula ulichopika mwenyewe.