Nilipewagwa uadmin group la wakubwa ili nimsaidie main admin, cha kwanza nikawa'unadmin woote nikabaki mwenyew, walitumia watu wa kila aina lkn wapi, haha niliwanyoosha baadae nikalifunga group.Wakuu kuna mtu amehack group langu la whatsapp la muhimu sana.
Naombeni kufahamu inawezekanaje hii, mtu umemuamini na kumpa uadmin halafu unaamka unakuta "You're no longer an admin" wakati wewe ndiye whatsapp group creator.
Naombeni kufahamishwa wajuzi wa mambo
Teknolojia ni Yetu sote
Anawatumia inbox member wote kwa groupAkishea link namblock nafuta mara mojaa
Memba buku tisa atawezaaAnawatumia inbox member wote kwa group
Kwani wamemremove si kaondolewa uadmin tu, hata kama kaleftishwa bado namba za wateja wake zipo kwenye group afanye hima kuwatafuta.Ata share vipi wakati is no longer available there😄
Ataweza tu, jinsi alivyowapata ndivyo atavyowapata tena.Memba buku tisa atawezaa
Kwani wamemremove si kaondolewa uadmin tu, hata kama kaleftishwa bado namba za wateja wake zipo kwenye group afanye hima kuwatafuta. Hapo
sawa mkuu
Kwani wamemremove si kaondolewa uadmin tu, hata kama kaleftishwa bado namba za wateja wake zipo kwenye group afanye hima kuwatafuta. Hapo
sawa mkuu
Itachukuwa muda ila vijana na wababa waovyo kuwapata ni rahisi jaman hahahhaAtaweza tu, jinsi alivyowapata ndivyo atavyowapata tena.
umenifanya nicheke kwa sauti..... inaonekana alikuwa anapata kikubwaJamaa naumia sana, halafu nadhani group lake lina maudhui ya ngono hahaha 😂
Iko hivyo mkuuumenifanya nicheke kwa sauti..... inaonekana alikuwa anapata kikubwa