Unawezaje kutenganisha maslahi ya Muungano na Tanganyika?

Unawezaje kutenganisha maslahi ya Muungano na Tanganyika?

Mzee Joseph mihangwa na akina Ali nabwa wameyasema Sana hayo ya muungano Wala si mabeberu
Hao kina mihangwa kwani taarifa wanazotumia si wanazitoa kwenye vyanzo vya mabeberu. Au wao walikuwepo kwenye hivyo vikao vya kujadili kuanzisha Muungano?? Ila hii si mada ya bandiko hili, kama una hamu ya mnakasha juu ya jambo hili, anzisha bandiko lako tukajadili huko mambo ya historia hiyo.

Kina mihangwa wanatumia "Tanzania National Archive documents" na "Declassified documents" toka UK na US. Kumbuku ya historia ya Muungano wetu inasimuliwa na pande mbili.
 
Hao kina mihangwa kwani taarifa wanazotumia si wanazitoa kwenye vyanzo vya mabeberu. Au wao walikuwepo kwenye hivyo vikao vya kujadili kuanzisha Muungano?? Ila hii si mada ya bandiko hili, kama una hamu ya mnakasha juu ya jambo hili, anzisha bandiko lako tukajadili huko mambo ya historia hiyo.

Kina mihangwa wanatumia "Tanzania National Archive documents" na "Declassified documents" toka UK na US. Kumbuku ya historia ya Muungano wetu inasimuliwa na pande mbili.
Mihangwa ni afisa kipenyo,na nabwa alikua kwenye nafasi nyeti za kujua hayo
 
Kwa mfano unawezaje kujua sasa serikali inafanya jambo kwa ajili ya Tanganyika na sasa inafanya kwa ajili ya Muungano??

Je, Rasirimali zilizopo Tanganyika ni mali ya Muungano ama ni mali ya Tanganyika. Faida inayopatikana kutokana na Utalii, madini, uuzaji mazao nje, ni mali ya Tanganyika ama ni mali ya Muungano.

Mtoto wa kizanzibari anaposoma kwenye shule zilizoko Tanganyika anahesabika anasoma kwenye shule za Muungano ama za Tanganyika? Ni wapi kisheria na kisiasa unapojua kama hili ni jambo la Tanganyika na hili ni jambo la Muungano?

Kama madini si suala la Muungano, Tanganyika inatumia njia gani kusimamia ili mapato yake yainufaishe Tanganyika ipasavyo??
Kingine ni, ni Vipi raisi Samia (mzanzibari) akapewe majukumu ya kusimamia mambo yasiyo ya Muungano (maslahi ya Tanganyika, kwa mfano hayo madini)?
 
Afrika ni shit hole countries!

Watu wakiambiwa wajadili faida za muungano Badala ya kujadili mambo ya uchumi wanajadili madaraka mpaka Bunge linavunjika. Wengine wanajadili Dini, ooh, hapa hatuitaki KUONA kanisa likijengwa mana kabla ya muungano hapakua na makanisa Mengi Sasa wanaimba mpaka Maeneo ya kujenga makanisa. Wengine nao Zanzibar IKIWA na uhuru kamili ugaidi utaongezeka na makanisa yatachomwa Moto.

Yaani watu wanajadili na kujenga Chuki tu juu ya Muungano Badala ya kujadili mambo ya uchumi namna Bora ya kutumia Muungano kukuza uchumi Wa nchi.

Leo hii Wazanzibari wanaona adui Yao ni Wakristo kuongezeka Zanzibar na wameaminishwa HIVYO na Wanasiasa wapumbavu.
CCM inatumia ujanja huo kupora uchaguzi na kuendelea kuwadidimiza Wazanzibari kiuchumi.
Adui Mkubwa Wa Wazanzibari ni CCM na serikali yake.
Sheria mbovu za Kodi na kiuchumi zinaiangamiza Tanzania ikiwemo Zanzibar.
Taifa linategemea Kodi za dhuluma na za kinyonyaji Kupitia bidhaa za kutoka Nje zinazotozwa Kodi KUBWA mara mbili ya Bei ya mtengenezaji Mwenyewe. Tanzania Bara wanapandisha Bei ya MAFUTA ya petroli, Redio,tv, magari , freji,Baiskeli,Bajaji,pikipiki, n.k. mara tatu mpaka nne ukilinganisha na Bei halisi ya bidhaa hiyo utafikiri bidhaa hizi Zina mbadala zinazozalishwa nchini.

Tulitegemea wapandishe Bei ya bidhaa Kama sukari,sementi, matakataka ya kutengenezea majuisi ya viwandani , Ngano, mahindi, Mchele, maharage, mafuta ya chakula Ili viwanda vya NDANI vizalishe Kwa wingi .

Bandari ya Zanzibar ilitakiwa iwe bandari huru kwenye Ukanda huu Wa Afrika Mashariki. Ili Nchi zote zije Tanzania Kununua bidhaa Badala ya kwenda Dubai,china n.k. Uchumi Wa Tanzania ungeimarika sana kutokana na Wageni na misururu ya wafanyabiashara Kuja Kununua bidhaa na kuzisafirisha kupitia bandari ya Dar es salaam Kwa malipo ya bandari tu na SIO Kodi. Kodi ingekua ni moja tu inayotozwa Tanzania Revenue Authority basi na ingekua inafanyikia Zanzibar. Zanzibar nao wangenufaika na udhuru Wa Bandari Tuu SIO kutoza Kodi. Ili kuepuka Kodi mara mbili kwenye nchi maja. Nchi ingekua na pato KUBWA sana ukilinganisha na huu ujinga na unyonyaji unaofanywa Kwa Watanzania kupitia TRA Na bandari ya DSM kuwaumiza watanzania akwa Kodi KUBWA mpaka watu wanapandisha Bei bidha ambazo nchi nyingine zote Duniani zipo chini isipokua Tanzania tu Kwa sababu ya Saisa za Kujaribu kuzuia uchumi Wa Zanzibar usiwe na manufaa Kwa Watanganyika na Wazanzibari wasinufaike na soko KUBWA la Ukanda Wa Afrika Mashariki.

Roho Mbaya za Mashati ya kijani yenye picha ya Mwenge ,Jembe na Nyundo ni ishara Mbaya ya kuwaponda watu kichwa Kwa kutumia Nyundo na kuwachoma moto Kwa kutumia Mwenge na Kisha kutumia Jembe kuchumba shimo la kuwazika WANANCHI hasa wanyonge.
 
Huu Muungano ni wa kipuuzi tu. Maana umewageuza Wazanzibari kuwa kupe wa nchi ya Tanganyika
Wa kulaumiwa ni CCM kwani ndiyo wamekataa Rasimu ya Katiba ya Tume ya jaji Warioba ambayo ilikuwa ina majibu ya kero za Muungano huu wa kimangungo
 
Back
Top Bottom