Nilikua na simu naitumia nikatoa line nikampa dogo cha ajabu dogo alipoweka line yake akendelea kupokea na kutuma maseji kwa acc yangu lakini no yake
Ni hivi simu ina account ya tigo na line ya tigo Tab ina account ya tigo ila line ya voda, hapa navyo andika zipo hivyo msg napata kwa simu na tab ila nacho andika kwenye tab sikioni kwenye simu viceversa
Any way mi ubishi na mashindano sipendi sio issue yangu kivile tufanye ur ryt haiwezekani Happy!!!
kama nime kuelewa vizuri unamanisha unataka kupata sms za mtu mwingine na ukazisoma.if yes
chukuwa simu nyingine inayo support whatsapp instal wahatsapp ukifika sehemu ya kuweka number zako za line iliyo kwenye simu usifanye hivyo badala yake weka namba za mtu unateka kusoma sma zake hakikisha una simu yake hapo whatsapp wata tuma code kwa njia ya sms ili ku veryfy na kuendelea na installation zi andike hizo namba za verfication zitakazo tumwa kwenye namba ya unaetaka kusima sms zake then malizia installation off you go.futa sms ya code zilizotumwa kwake,kwanzia hapo utapokea sms zote atakazo tumiwa ila hutaweza kupata anazo zituma yeye.
mkuu networker mimi natumia galaxy s3,ina acces net vizuri kabisa but ina sumbua kweny whatsapp esp kweny kudownload and ku upload videos na images nimetumia mbinu zote but inashindikana nimeifuta na kuinstall upya mambo ni yale yale.msaada pliz.kama nime kuelewa vizuri unamanisha unataka kupata sms za mtu mwingine na ukazisoma.if yes
chukuwa simu nyingine inayo support whatsapp instal wahatsapp ukifika sehemu ya kuweka number zako za line iliyo kwenye simu usifanye hivyo badala yake weka namba za mtu unateka kusoma sma zake hakikisha una simu yake hapo whatsapp wata tuma code kwa njia ya sms ili ku veryfy na kuendelea na installation zi andike hizo namba za verfication zitakazo tumwa kwenye namba ya unaetaka kusima sms zake then malizia installation off you go.futa sms ya code zilizotumwa kwake,kwanzia hapo utapokea sms zote atakazo tumiwa ila hutaweza kupata anazo zituma yeye.
Nilikwenda mkoani wakati narudi nikampa dogo smartphone yangu akanipa simu yake ya kawaida ili niwe hewaniMkuu hilo linawezekana sana.
Swali la msingi je, hiyo simu yako ulijiunga kwa namba ile ile ambayo ulitumia kwenye simu ya mwanzo?
kama nime kuelewa vizuri unamanisha unataka kupata sms za mtu mwingine na ukazisoma.if yes
chukuwa simu nyingine inayo support whatsapp instal wahatsapp ukifika sehemu ya kuweka number zako za line iliyo kwenye simu usifanye hivyo badala yake weka namba za mtu unateka kusoma sma zake hakikisha una simu yake hapo whatsapp wata tuma code kwa njia ya sms ili ku veryfy na kuendelea na installation zi andike hizo namba za verfication zitakazo tumwa kwenye namba ya unaetaka kusima sms zake then malizia installation off you go.futa sms ya code zilizotumwa kwake,kwanzia hapo utapokea sms zote atakazo tumiwa ila hutaweza kupata anazo zituma yeye.