Unayehoji kwanini Msudani Kafuzu kwa Kukufunga Goli Moja, Wewe Sare yako ya Dar imekuvusha Makundi CAFCL?

Unayehoji kwanini Msudani Kafuzu kwa Kukufunga Goli Moja, Wewe Sare yako ya Dar imekuvusha Makundi CAFCL?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kikubwa kinachotakiwa katika Mechi za Kufuzu kutinga Makundi ya CAFCL siyo idadi ya Magoli au Umechezaji bali ni Mikakati na Mipango ya Kukupeleka huko hivyo hata kama Umefuzu kwa Goli Moja tu au Umecheza vibaya wala haijalishi ila muhimu ni Kutinga Makundi huku ukiwaacha Wengine waje kuwasubiria Ihefu FC katika NBC Premier League ya Tanzania.

Naendelea Kusisitiza kuwa kwa Kujiamini kabisa ni kwamba tarehe 23 Oktoba 2022 Simba SC anaenda Kushinda Mechi yake muhimu kwa 100%.
 
Sasa nimeelewa kwanini Al Hilal Kila msimu inacheza Makundi japo mpira haupo. Hata huyo mwekezaji sipati picha anajisikiaje. Kwa namna timu yake inavyopata matokeo.

Ila pamoja na kutolewa siioni Simba ikipata sare Kwa Yanga Kwa misimu ya karibuni.
 
Al hilal ni wabovu ila utopolo ni wabovu ZAID
Sasa nime elewa kwanini Al Hilal Kila msimu inacheza Makundi japo mpira haupo.
Ata uyo mwekezaji sipati picha anajisikiaje
Kwa namna timu yake inavyopata matokeo.
Ila pamoja na kutolewa siioni Simba ikipata sare Kwa Yanga Kwa misimu ya karibuni.
 
Sasa nimeelewa kwanini Al Hilal Kila msimu inacheza Makundi japo mpira haupo. Hata huyo mwekezaji sipati picha anajisikiaje. Kwa namna timu yake inavyopata matokeo.

Ila pamoja na kutolewa siioni Simba ikipata sare Kwa Yanga Kwa misimu ya karibuni.
Utapasukq msamba tu yanga hamna vision
 
Back
Top Bottom