Unayependa kuniandika kitabu cha wageni guest house ukiwa na kimada uache

Unayependa kuniandika kitabu cha wageni guest house ukiwa na kimada uache

Habari jamani.

Leo nimekuja hapa Dsm mtaa wa Kunduchi, nikaona nilale guest house fulani hivi. Wakati najiorodhesha jina kwenye kitabu cha wageni, nikaona jina langu kana kwamba nimelala hapa tarehe 05.03.2017.Wakati kipindi hicho mm sikuwepo Dsm.

Napata wakati mgumu kumjua aliyeingia hapa na kimada akaniandika mm.

Pia n risk sana kwako wewe unayependa kuniandika mm ukiwa na kimada chako.

shabashi.
Jina lako nani hata nchi nzima likosekane? Majina mengi ya kibongo yanajirudia sana.
 
Habari jamani.

Leo nimekuja hapa Dsm mtaa wa Kunduchi, nikaona nilale guest house fulani hivi. Wakati najiorodhesha jina kwenye kitabu cha wageni, nikaona jina langu kana kwamba nimelala hapa tarehe 05.03.2017.Wakati kipindi hicho mm sikuwepo Dsm.

Napata wakati mgumu kumjua aliyeingia hapa na kimada akaniandika mm.

Pia n risk sana kwako wewe unayependa kuniandika mm ukiwa na kimada chako.

shabashi.
Pole sana mkuu kwa mkasa huo ni hatari sana.
 
Jina lako nani hata nchi nzima likosekane? Majina mengi ya kibongo yanajirudia sana.
Jina kama Orkokoyo Medung'ori halijirudii kihivyo mkuu...haya,ni majina ya kipekee sana
 
Habari jamani.

Leo nimekuja hapa Dsm mtaa wa Kunduchi, nikaona nilale guest house fulani hivi. Wakati najiorodhesha jina kwenye kitabu cha wageni, nikaona jina langu kana kwamba nimelala hapa tarehe 05.03.2017.Wakati kipindi hicho mm sikuwepo Dsm.

Napata wakati mgumu kumjua aliyeingia hapa na kimada akaniandika mm.

Pia n risk sana kwako wewe unayependa kuniandika mm ukiwa na kimada chako.

shabashi.
Yawezekana mwafanana majina.
 
Mfano wakulya akina chacha mwita wapo kibao zanzibar ndiyo usiseme juma Mohammed kila kona.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] pole bro ndo ukubwa huo.lkn usisahau majina yetu hufanana eeh
 
Habari jamani.

Leo nimekuja hapa Dsm mtaa wa Kunduchi, nikaona nilale guest house fulani hivi. Wakati najiorodhesha jina kwenye kitabu cha wageni, nikaona jina langu kana kwamba nimelala hapa tarehe 05.03.2017.Wakati kipindi hicho mm sikuwepo Dsm.

Napata wakati mgumu kumjua aliyeingia hapa na kimada akaniandika mm.

Pia n risk sana kwako wewe unayependa kuniandika mm ukiwa na kimada chako.

shabashi.
Dunia kuna vituko sana,jina lako nani vileeeeee??
 
Back
Top Bottom