Jina lako nani hata nchi nzima likosekane? Majina mengi ya kibongo yanajirudia sana.Habari jamani.
Leo nimekuja hapa Dsm mtaa wa Kunduchi, nikaona nilale guest house fulani hivi. Wakati najiorodhesha jina kwenye kitabu cha wageni, nikaona jina langu kana kwamba nimelala hapa tarehe 05.03.2017.Wakati kipindi hicho mm sikuwepo Dsm.
Napata wakati mgumu kumjua aliyeingia hapa na kimada akaniandika mm.
Pia n risk sana kwako wewe unayependa kuniandika mm ukiwa na kimada chako.
shabashi.
Pole sana mkuu kwa mkasa huo ni hatari sana.Habari jamani.
Leo nimekuja hapa Dsm mtaa wa Kunduchi, nikaona nilale guest house fulani hivi. Wakati najiorodhesha jina kwenye kitabu cha wageni, nikaona jina langu kana kwamba nimelala hapa tarehe 05.03.2017.Wakati kipindi hicho mm sikuwepo Dsm.
Napata wakati mgumu kumjua aliyeingia hapa na kimada akaniandika mm.
Pia n risk sana kwako wewe unayependa kuniandika mm ukiwa na kimada chako.
shabashi.
Jina kama Orkokoyo Medung'ori halijirudii kihivyo mkuu...haya,ni majina ya kipekee sanaJina lako nani hata nchi nzima likosekane? Majina mengi ya kibongo yanajirudia sana.
Ndio hilo limejirudia.Jina kama Orkokoyo Medung'ori halijirudii kihivyo mkuu...haya,ni majina ya kipekee sana
Yawezekana mwafanana majina.Habari jamani.
Leo nimekuja hapa Dsm mtaa wa Kunduchi, nikaona nilale guest house fulani hivi. Wakati najiorodhesha jina kwenye kitabu cha wageni, nikaona jina langu kana kwamba nimelala hapa tarehe 05.03.2017.Wakati kipindi hicho mm sikuwepo Dsm.
Napata wakati mgumu kumjua aliyeingia hapa na kimada akaniandika mm.
Pia n risk sana kwako wewe unayependa kuniandika mm ukiwa na kimada chako.
shabashi.
Huyo ni mtu from Mbeya Tandhania anaitwa Anyonyile Mwakisimi NtombinkuluEm' naomba umwambia jamaa atutajie majina yake kamil tuone kama hakuna mwingine mwenye jina/majina hayo
Hahahah Kufa KunogaKuna nomino za pekee.
Unakuta mtu anaitwa
KIBORI nangaaaya
Au napingiya kaburundeti
Na namba yake ya simu kabisa
Tehteh. ...Isimu nakusalimuHahahah Kufa Kunoga
Dunia kuna vituko sana,jina lako nani vileeeeee??Habari jamani.
Leo nimekuja hapa Dsm mtaa wa Kunduchi, nikaona nilale guest house fulani hivi. Wakati najiorodhesha jina kwenye kitabu cha wageni, nikaona jina langu kana kwamba nimelala hapa tarehe 05.03.2017.Wakati kipindi hicho mm sikuwepo Dsm.
Napata wakati mgumu kumjua aliyeingia hapa na kimada akaniandika mm.
Pia n risk sana kwako wewe unayependa kuniandika mm ukiwa na kimada chako.
shabashi.
hahahahaKuna nomino za pekee.
Unakuta mtu anaitwa
KIBORI nangaaaya
Au napingiya kaburundeti
Na namba yake ya simu kabisa
Tehtehahahaha
Jina lako nani hata nchi nzima likosekane? Majina mengi ya kibongo yanajirudia sana.