Ndio maana huwa tunasema kuna Mungu mmoja tu na hana mshirika na Mtume Muhammad SAW ni Mtume wake.Habari,
Africa tumekuwa kwenye kiza kisichojulikana kwa miongo kadhaa, wachongaji wengi utasikia wakisema msiabudu mizimu ya mababu zenu, mara mizimu inaleta nuksi, mara watu wamefungwa na mizimu ya kwao.
Nauliza hivi huyo YESU SIO MZIMU?
MAMA MARIA SIO MZIMU?
WATAKATIFU TUNAWAOMBA WATUOMBEE SIO MIZIMU?
ETI MTAKATIFU AGUSTINO NA WENGINE KIBAO SIO MIZIMU?
Nipeni jibu langu hapa hapa
Mm nisha loose interest kabisa ...kuna hii statement eti bora useme hayupo usimkute ... kuliko kusema hayupo afu mkute [emoji23][emoji23]... kuchezeana akili tuuNataka majibu maana waafrica sijui aliyeturoga??tunazarau vya kwetu kazi kukumbatia vya wazungu
wengine wote ni mizimu isipokuwa Yesu, Mwana wa MunguHabari,
Africa tumekuwa kwenye kiza kisichojulikana kwa miongo kadhaa, wachongaji wengi utasikia wakisema msiabudu mizimu ya mababu zenu, mara mizimu inaleta nuksi, mara watu wamefungwa na mizimu ya kwao.
Nauliza hivi huyo YESU SIO MZIMU?
MAMA MARIA SIO MZIMU?
WATAKATIFU TUNAWAOMBA WATUOMBEE SIO MIZIMU?
ETI MTAKATIFU AGUSTINO NA WENGINE KIBAO SIO MIZIMU?
Nipeni jibu langu hapa hapa
mtume siyo mzimu?Ndio maana huwa tunasema kuna Mungu mmoja tu na hana mshirika na Mtume Muhammad SAW ni Mtume wake.
Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa niletee ushahidi hapa. Yesu ni mtoto wa Yusuf fundi seremalawengine wote ni mizimu isipokuwa Yesu, Mwana wa Mungu
Hao wengine hakuna kitu chochote kimeagizwa tufanye juu yao
Mi ndio kwanza naagiza na popcorn hapa hapa!kiti cha mbele dirishani, kioo nimekifungua nimeeka na kiwiko kabisa na bisi pembeni nikisubiri wengine wajae tuondoke
Eti we mjita na Mluri wa Tarime unazaa kwani unamuita sijui, Abdulswamadu, Nasrudin, Abuu Hamza, Joseph, Christopher,Joshua, ni upuuzi mtupu!!Dini ya waarabu na wazungu,za hovyo sana,kwamwe usiache kuwakumbuka na kuenzi wazee wako,
Utakuta lipumbafu limoja watoto wake limeita majina ya wazungu na waarabu,pumbafu kabisa,hivi ulishawahi enda uarabuni au uzunguni ukakuta wanaita watoto wao majina ya kimakonde?
Kumbuka Bwana Yesu alikufa na akafufuka.!!!! Aliushinda umauti.Kwaiyo wewe
Kwamba yesu hakufa??
Sema ni mzimu acha kupindisha madaNdio maana huwa tunasema kuna Mungu mmoja tu na hana mshirika na Mtume Muhammad SAW ni Mtume wake.
Hawezi kurudi na hoja hapa kwenye"HAKUZAA WALA KUZALIWA"Mungu hakuzaa wala hakuzaliwa niletee ushahidi hapa. Yesu ni mtoto wa Yusuf fundi seremala
Hizo roho Wanakwama wapi?Kumbuka Bwana Yesu alikufa na akafufuka.!!!! Aliushinda umauti.
Mzimu ni nishati ( energy), AU roho ya mtu ambaye amefariki dunia lakini imekwama katika sehemu iliyo kati ya duniani ( ulimwengu wa nyama/ulimwengu unao onekana ) na mahali ambapo roho hiyo inatakiwa kwenda kuishi baada ya maisha ya hapa duniani kukamilika ( ulimwengu usio onekana/ afterlife/ land of the souls.
Zinakwama hapo niliposema Zinakwama π€πHizo roho Wanakwama wapi?
Wapi? Be specific where?Zinakwama hapo niliposema Zinakwama π€π
Sabato njemaRoman Catholic mjoo hapa mlete majibu! Walokole wanaamini Yesu Kristo alifufuka mwili, nafsi, na roho. Hivyo Yesu Kristo sio mzimu kwasababu mizimu miili yao ilioza kaburini! Ki_Kristo mtu akishakufa kumbukumbu lake halipo! Hiyo mizimu ni shetani kachukua sura ya hao watu waliokufa kuwadanganua wanadamu!
Niwe specific kivipi?????? ,, unataka kuona kwa macho au?????Wapi? Be specific where?
Sio kwa macho nachotaka kujua ni hiyo point yako umesema Roho Wanakwama Ndio nataka kupata DARASA zinakwama wapi?Niwe specific kivipi?????? ,, unataka kuona kwa macho au?????
Mkuu unachopaswa kufahamu mara nyingi roho hizi huwa ni roho za watu ambao walikufa katika mazingira yanayo tatanisha kama vile kufa kwa kuuliwa bila sababu ( cold blood), kutolewa kafara, ama kufa baada ya maisha ya msukuleni. Kwa ufupi hizi huwa ni roho za watu ambao walidhulumiwa haki yao ya kuishi hapa duniani.Sio kwa macho nachotaka kujua ni hiyo point yako umesema Roho Wanakwama Ndio nataka kupata DARASA zinakwama wapi?
mizimu ni majini yanayojifanya marehemu. kifo kinafananishwa na usingizi. ukilala hujui kinachoendeleaKumbuka Bwana Yesu alikufa na akafufuka.!!!! Aliushinda umauti.
Mzimu ni nishati ( energy), AU roho ya mtu ambaye amefariki dunia lakini imekwama katika sehemu iliyo kati ya duniani ( ulimwengu wa nyama/ulimwengu unao onekana ) na mahali ambapo roho hiyo inatakiwa kwenda kuishi baada ya maisha ya hapa duniani kukamilika ( ulimwengu usio onekana/ afterlife/ land of the souls.