BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
πππππUkituliza dishi lako hua unapoint sana ila sasa ukute dishi limeyumbishwa na upepo wa mvua aisee ni hatari.
Natamani nije tabata hata usiku huu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππUkituliza dishi lako hua unapoint sana ila sasa ukute dishi limeyumbishwa na upepo wa mvua aisee ni hatari.
njoo uone ππππππila ndio hivyo sina bahati nacho hicho kinyeo... cha mtakatifu kinyeo π€£π€£π€£
Yesu alikufa siku ya tatu akafufuka, sio mfu yu hai kwahiyo sio mzimuKwaiyo wewe
Kwamba yesu hakufa??
Na kibaridi hiki dah, sema mkitumiwa nauli mnakula hamjiπ€£πππππ
Natamani nije tabata hata usiku huu....
Nakuja kwa nauli yangu, sio kwa baridi hii πππNa kibaridi hiki dah, sema mkitumiwa nauli mnakula hamjiπ€£
Waooh lina unakuja bichwa komwe wanguπNakuja kwa nauli yangu, sio kwa baridi hii πππ
ata saiv njoo inboxWaooh lina unakuja bichwa komwe wanguπ
Hizo ni story za kwenye vitabu mbona Muhammad hajafufuka,au yeye sio mzungu??Yesu alikufa siku ya tatu akafufuka, sio mfu yu hai kwahiyo sio mzimu
Tatizo inbox yangu haifunguki sijui tatizo nini.ata saiv njoo inbox
una bahatTatizo inbox yangu haifunguki sijui tatizo nini.
Maendeleo yapi ni duni ?Mi naomba kuuliza tu kuwa, sio sehemu zote ndani ya Tanzania wanaabudu hao wazungu au waarabu, kuna sehemu nyingine hizo asili bado zipo na zimejaa tele, lakini mbona ukiangalia maisha na maendeleo yao bado ni duni sana...?
Au mlikuwa mnazungumzia kuabudu katika kuleta au kusaidiwa katika nyanja au fikra gani labda...?
Ningependa tu kujua kwa sababu mikanganyiko ni mingi kwa kweli.
njoo uone ππππππ
Njoo fungua inboxTunafanyaje sasa?
Haifunguki aiseeNjoo fungua inbox
Haifunguki aiseeNjoo fungua inbox
Muhamad sio YesuHizo ni story za kwenye vitabu mbona Muhammad hajafufuka,au yeye sio mzungu??
Huyo mama Maria ndo nan kwanza?Mama Maria ni nani??hao tuna wasoma kwenye biblia sio mizimu?? Wakina petro,musa,Paulo tuelekezeni tu