Be careful guys and warned.
Kuna jamaa ninamfaham humu jamii forum in personal kabisa huwa anakuja na hivi vimawazo vya kujikwamua mwisho wa siku ni utapeli.
Nasema tena kuweni makini.
Be careful guys and warned.
Kuna jamaa ninamfaham humu jamii forum in personal kabisa huwa anakuja na hivi vimawazo vya kujikwamua mwisho wa siku ni utapeli.
Asante sana kwa taarifa
Nasema tena kuweni makini.
Mkuu mimi sina uzoefu Mkubwa kwenye biashara wala sijazaliwa familia ya kibiashara ila ni namna tu kujikwamua ndio tunatafuta. Kuhusu bidhaa labda nikupe mfano kuna Manufacturer nimeongea naye kuhusu KALAMU ZA BALAJ Zinazouzwa Tsh 100 kwa bei ya Jumla na Tsh 200 rejareja akasema atatoa kwa Tsh 44.4 per pen. Ila MOQ yake ni 2O" FCL.Hili wazo ni zuri sana. Narudia tena wazo ni zuri sana. Lakini linahitaji mjafala mpana wa kina.
Mimi ni mhanga wa 15M kwa kosa la kutokuuliza maswali ya msingi mwanzoni mwa uwekezaji.
Hapa tunaongelea 900,000/= kwa kila mmoja endapo wanatoa 150,000/= kwa mwezi ndani ya miezi sita.
Ni pesa mtu?.
Shambulio la aibu hiliMh mh mh mh mh mh mh mh mh mh Nasema MH!
Pole SanaSiwezi kumwamini mbongo.. Nimeapa.
Majuzi tu nimegombana na mtu ninayemwamini zaidi ya ndugu na bado bifu liko hot ile mbaya.
Just imagine, staff mate, college mate, tunashea everything, tuko level moja ya maisha, mshahara etc. Tuliaminiana kila kitu
Few months ago alinipa wazo la biashara nzuri kabisa, ambayo kila wiki inarudisha 10% ya hela uliyoweka. Na alinipa details zote za biashara husika. Akaniambia yeye ameweka 1m, na kila wiki anakula faida 100k. Baada ya kunishawishi sana nikachomoa laki 5. kwa majaribio. Wiki ya kwanza alisema nisubiri biashara ichanganye nichukue riba wiki ijayo.
Kweli wiki iliyofuata alinipa 50k. Baada ya hapo akawa anavusha wiki moja ananiambia oooh, mzigo umesumbua wiki hii mzigo umeadimika. Ikawa badala ya kupata laki 2 kwa mwezi nikawa napata laki 1. Baada ya mwezi wa kwanza kupita nikapata 50k baada ya wiki tatu, na sasa ni wiki 3 zingine sijapata hela, sababu nyingiiii. Nimemlazimisha arudishe mtaji sasa inaelekea mwezi kila siku chenga, nafikiria nikamfanyie fitna ambayo hatakuja kusahau.
Nimenyoosha mkono juu kwa wabongo. Bora Trump aje aniibie lakini siyo hapa
Wewe kama unajiamini njoo na account yenye majina yako halisiYaani maoni yote ya watu wote hapo juu wewe umechagua kumwamini huyu.
Kweli maisha ni chaguo !
Kwema Vijana Wenzangu ?
Unajua kuna wakati ni lazima tukubaliane na ukweli kuwa Vijana wa Tanzania tumetelelekezwa na viongozi wetu, na itakuwa ni jambo baya zaidi kama tutatelekezana wenyewe pia !
Mitaji yetu ni kiduchu, tutakuwa watumwa wa watu mpaka lini, tutakuwa machinga mpaka lini ??
Sasa kama na wewe umechoka kama mimi, nakushirikisha njia HALALI, RAHISI na ya KISASA ya kujikwamua KIMAISHA.
Wanahitajika "VIJANA 50 NET" walio COMMITED, SMART, FOCUSED, WAAMINIFU, HARDWORKER na WENYE SUBIRA !
Nini tutafanya:
Nimeshafanya "survey" kwa manufacturers wa bidhaa kadhaa China, India, Iran na kwingine nimeona ni namna gani biashara za [HASHTAG]#Wholesaling[/HASHTAG]" zina "ROI" nzuri
- Sisi tutakuwa tutafungua akaunti ya pamoja, tutaweka Tsh 150,000 kila mwezi kwa miezi 6 then baada ya hapo, tutazungumza na Manufacturers wa bidhaa tunazotaka, zikiletwa tunauza kwenye Retail Stores na Supermarkets
- Kwa lugha rahisi tutafanya [HASHTAG]#Marketing[/HASHTAG] na [HASHTAG]#BrandBuilding[/HASHTAG]
Taratibu zote za kisheria zitafuatwa. Kama una swali uliza:
Ndiyo hapo hapo wananiangushagaWabongo Tatizo uaminifu!
Unaweza ukaamini kama mpo pamoja Kumbe mwenzio ana wazo la kukupiga panga!
Hakuna sehemu nimesema nakufahamu, lete ushahidi acha porojo.Mkuu wewe si ushasema unanifahamu ??