Yaan hapa tu ndo panapotatiza. Tunaishi kwa kunyemeleana mno[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Wabongo Tatizo uaminifu!
Unaweza ukaamini kama mpo pamoja Kumbe mwenzio ana wazo la kukupiga panga!
Unaona sasa Tabu ilipo, mtoa mada anawaza kuagiza bidhaa kutoka China, wewe unawaza ukulima na ufugajiWazo zuri sana hilo kwa miezi sita mtakuwa na mtaji wa sh milioni 45. Mngewekeza kwenye kilimo cha kisasa au mradi wa ufugaji kuku wa kienyeji kisasa baada ya mwaka.mmoja mngekuwa na mkwanja wa kutosha tu. Think about it
Unamfahamu Mtu mzito?Be careful guys and warned.
Kuna jamaa ninamfaham humu jamii forum in personal kabisa huwa anakuja na hivi vimawazo vya kujikwamua mwisho wa siku ni utapeli.
Nasema tena kuweni makini.
But the outcome will be the same...moneyUnaona sasa Tabu ilipo, mtoa mada anawaza kuagiza bidhaa kutoka China, wewe unawaza ukulima na ufugaji
Cc John January John JanuaryMkuu mimi sina uzoefu Mkubwa kwenye biashara wala sijazaliwa familia ya kibiashara ila ni namna tu kujikwamua ndio tunatafuta. Kuhusu bidhaa labda nikupe mfano kuna Manufacturer nimeongea naye kuhusu KALAMU ZA BALAJ Zinazouzwa Tsh 100 kwa bei ya Jumla na Tsh 200 rejareja akasema atatoa kwa Tsh 44.4 per pen. Ila MOQ yake ni 2O" FCL.
- Sasa imagine hata kama kwa kalamu 1, ukilipa ushuru na gharama za matumizi yote ikawa Tsh 30, Jumla itakuwa Tsh 70/pen!
- So ukipata faida ya Tsh 30 kwa kuuza kwenye maduka ya rejareja kwa Tsh 100, kwa kalamu 200,000 utapata faida ya Tsh 6,000,000 na huo unaweza kuwa ni mzunguko au usambazaji wa Wiki au Wiki 2 tu !
mbona km unatumia nguvu kubwa sana kujitetea?Hivi uwongo unakupa faida gani Mkuu ?
Au Watu wakiendelea kuwa masikini wewe unafaidika na nini ?
Weka hapa hata picha yangu kama unanifahamu IN PERSON, mimi najitoa JF !!
ni kweli na vita mbaya Watanzania ni kukosa uaminifu na kuaminiana. hilo wazo ni jema endapo litawekwa kwenye MU so itakuwa kampuni, pawe na wataalamu wa masoko, wauzaji na wasimamizi wenye taaluma hiyo, nakwambia muda mfupi mtakuwa na turn over taam kabisa.Wabongo Tatizo uaminifu!
Unaweza ukaamini kama mpo pamoja Kumbe mwenzio ana wazo la kukupiga panga!