Mkuu mimi sina uzoefu Mkubwa kwenye biashara wala sijazaliwa familia ya kibiashara ila ni namna tu kujikwamua ndio tunatafuta. Kuhusu bidhaa labda nikupe mfano kuna Manufacturer nimeongea naye kuhusu KALAMU ZA BALAJ Zinazouzwa Tsh 100 kwa bei ya Jumla na Tsh 200 rejareja akasema atatoa kwa Tsh 44.4 per pen. Ila MOQ yake ni 2O" FCL.
- Sasa imagine hata kama kwa kalamu 1, ukilipa ushuru na gharama za matumizi yote ikawa Tsh 30, Jumla itakuwa Tsh 70/pen!
- So ukipata faida ya Tsh 30 kwa kuuza kwenye maduka ya rejareja kwa Tsh 100, kwa kalamu 200,000 utapata faida ya Tsh 6,000,000 na huo unaweza kuwa ni mzunguko au usambazaji wa Wiki au Wiki 2 tu !