Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sasa wewe umeiokota wapi 39?[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mtoto, umeanza lini dharau eti
Kaone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wewe umeiokota wapi 39?[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mtoto, umeanza lini dharau eti
Nafarijika kuwaona wadogo zangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dogo acha kujimwambafay
Umri umesogea Sana na namiliki simu yangu tu ya tecno ambayo muda wowote naweza porwa[emoji1787][emoji1787]Utambee
Huyo mwizi atakae kupora mtoto mdogo kama wewe haendi mbinguni hata kwa msamaha 😂😂😂Umri umesogea Sana na namiliki simu yangu tu ya tecno ambayo muda wowote naweza porwa[emoji1787][emoji1787]
Shkamoo Dada mdogoNafarijika kuwaona wadogo zangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ha we jamaa!Ndoa ya Prof Kapuya, Na mzee Rungwe wamenisababisha nijiamini sana.
Marhabaaa mdogo wangu mzuri[emoji8][emoji8][emoji8]Shkamoo Dada mdogo
Haki ya Nani nimecheka Mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mwizi atakae kupora mtoto mdogo kama wewe haendi mbinguni hata kwa msamaha [emoji23][emoji23][emoji23]
Shikamoo inakomaza shauri yako 😂Marhabaaa mdogo wangu mzuri[emoji8][emoji8][emoji8]
😂😂😂Haki ya Nani nimecheka Mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe mtoto Unanichukulia poa sana [emoji1787][emoji1787].[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikomae Mara ngapi mdogo wangu?[emoji23]Shikamoo inakomaza shauri yako [emoji23]
Yalikuwepo kwa kiwango kikubwa tuKumbe haya mambo yalikuwepo tangu zamani!?!
AiseeYalikuwepo kwa kiwango kikubwa tu
[emoji3][emoji3][emoji3]Yaani mm kama ni jua ndio limefika saa 3 asubuhi
A wapi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kabisa. Mimi huwa nasema haya maisha kwa Mungu ni kama kibao ni sekunde tu kugeuza mshale uelekee upande wa pili.
Mimi mpaka nikifika 45 sina kitu ndio ntasema hapa basi, lkn kwa hii 31 bado sana.
Na asikudanganye mtu, sister, ukiona mtu ana miaka 31 lakini tayari ana vitu vyote muhimu jua ni mwizi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]55 bado niko kwa mama