Unazikumbuka enzi za Barua!

jamani kuna vitu flani vilikwepo zamani vilikuwa raha sana mojawapo ni hili la barua. kuna jamaa mmoja alikuwa anasoma ttc matogoro pale songea miaka ya 84&85 jamaa alikuwa anafukuzia sista angu mitaa ya mabatini pale jirani na chuo. jamaa bana alikuwa anacharaza barua si mchezo anaandika hata mara tatu kwa siku basi anakuja uwanjani ttc pale ananikuta nacheza mpira wakati huo niko std four kwenye bahasha anaweka sh ishirini za noti zile mbili basi mie nafungua barua natoa moja nyingine napeleka kwa sister, sista anavuta ile mbau anakauka. km miezi mitatu imepita jamaa hakijapata jibu one day likaja home eti linalazimisha majibu basi sister akakusaaanya barua zote akazichoma moto yale majivu akaweka kwenye bahasha akanipa nikampelekea jamaa alinitoa baruu akatukana huyooo nikazama home. two weeks later niko kwa class tunaambiwa kuna walimu wa mazoezi wamekuja wanatambulishwa na jamaa yupo si alikuwa mwanafunzi chuoni sasa wamekuja kufanya BTP, nilitetemeka ila tukaishia kumwita mwalimu majivu baada ya kuwapa story washkaji class. hizo ndo barua bana
 


hahahahah lohhh
hizo rangi zimenipa rahaa sana kwa kweli mmmhh
 
mkuu hapo umeniua kabisa duh
 
Sijui kwa nin shirika la posta serikali inaliua, Barua/posta ndio means muhm ya mawasiliano kiofisi! Writen documents km 1 ya principle za bureaucracy inapatikana posta
 
Sijui kwa nin shirika la posta serikali inaliua, Barua ndio means muhm ya mawasiliano!
Serikali haijaliua shirika la posta; ni maendeleo ya teknolojia - introduction ya mobile phones (kumbuka hata handsets za sh 10,000 zipo) ndiyo imefanya umuhimuwa posta kupungua sana. Kwa ninimtu aandike barua wakatianaweza kumpigia simu huyo ambaye angemuandikia barua?! Barua zimebaki za kiofisi tu.
 

kwa hiyo barua ina umuhimu au hizi teknolojia zetu???
 
Yaani hizi barua nazo, zilikuwa zinaleta kesi sana majumbani mwetu. unajaladia daftari then unaificha humo mara mama ako anaigundua au mwalimu hakuna rangi utaacha ona
 
Yaani hizi barua nazo, zilikuwa zinaleta kesi sana majumbani mwetu. unajaladia daftari then unaificha humo mara mama ako anaigundua au mwalimu hakuna rangi utaacha ona

haha ha ha ni kweli kabisa mama aliwah tandika vidole alipokuta kimsg cha fatuma wangu nkiwa drs la 6 na skuli akaja tukakungutwa tena ndo -+ za barua!
 
Kwani mmesahau enzi za vistika vyenye ujumbe wa mapenzi vilivyokuwa vinabandikwa kwenye barua iliyoandikwa kwenye karatasi ya maua maua ambayo ilikuwa lazima ichombezwe na dedication ya wimbo wa blues au RnB toka Marekani bila ya kujali kuwa huko boarding ulipo wala huwezi kuusikiliza huo wimbo labda mpaka urudi home wakati wa likizo.
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Ha ha ha wanianza uchokozi weye mie siku hz ni Guest nipo nipo GAZETI nakusoma sana tu
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Ha ha ha wanianza uchokozi weye mie siku hz ni Guest nipo nipo GAZETI nakusoma sana tu

Ok, Ahsante Dena. Ingawa tulikuwa tunatoa mfano tu wa barua za siku zile. Bora umeonekana sasa nimetulia. Nilikuzoea kabla sijawa memba, yaani wewe hapa JF ni kama Messi Kule Barcelona.
 
Ok, Ahsante Dena. Ingawa tulikuwa tunatoa mfano tu wa barua za siku zile. Bora umeonekana sasa nimetulia. Nilikuzoea kabla sijawa memba, yaani wewe hapa JF ni kama Messi Kule Barcelona.
<br />
<br />
Jamani wewe.....mie miss wewe pia
 
Niliwah mtumia dem barua akaniona wakuja et why dont you use emails ?i hate tht shit sentence
 
ndo mana kuna kitu kinaitwa GENERATION.ukilijua hilo hutalishangaa hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…