Unazikumbuka nyimbo za shule ya msingi (e.i. std i - iii)?

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,296
Reaction score
12,972
Hi guys,

me naukumbuka huu, "hesabu ni nzuri sana weeee mwalimu nifundishe siwezi kusahau ee mwalimu ee mwalimu nifundishe"

mwingine "a e i o u hizi ni herufi kuu, tamka kwa sauti kuu, hizi a e i o u"

unazikumbuka nyingine??????????
 
nampenda, mpenda nani?,
kijana mmoja, nani?
ana macho madogo? nani?,
ni .........., malizieni! khaaaa umenikumbusha mbali! na turinge bayoyo, nimewafundisha wanangu, khaaaa wanatakaje sasa tukatike wote mpaka chini, khaaaaaa!
 
nampenda, mpenda nani?,
kijana mmoja, nani?
ana macho madogo? nani?,
ni .........., malizieni! khaaaa umenikumbusha mbali! na turinge bayoyo, nimewafundisha wanangu, khaaaa wanatakaje sasa tukatike wote mpaka chini, khaaaaaa!

hahaaaaaaa.... haha ndo hapo mpka utakatika nao... mamie me mpaka saiv napenda michezo ya kitoto hwua naacheza na mpnz watu smtym yan inanogaje!
 
nimekumbuka mwingi huu hapa..... ukti ukuti wa mnazi wa mnazi, mwenztu mwenzetu kagongwa kagongwa na nini na nini nagari na gari, tumpeleke hospital asije kusema kwa baba na mama yae yase yase yaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
 
Jieleze jieleze,
jieleze jieleze,
jieleze jieleze ntajieleza mama,
Mimi hapa ni Madame,
Mama yangu ni Salima
Baba yangu ni Kikwete.
nshajieleza mama.

Yani huo mwimbo unan'koshaga sana shost Charm na mamito cacico.
 
Jieleze jieleze,
jieleze jieleze,
jieleze jieleze ntajieleza mama,
Mimi hapa ni Madame,
Mama yangu ni Salima
Baba yangu ni Kikwete.
nshajieleza mama.

Yani huo mwimbo unan'koshaga sana shost Charm na mamito cacico.
Hujambo Cheupe?
 
teh teh mie huu hapa sasa sasa saa yakwenda kwetu kwaheri mwalimu kwaheri tutaonana keshooooooo mi meno yatoka ka niin kwa furaha. Na mwingneeeeeee aaaaaaaahh upi uleeeeee aahaa huu hapa bana asiyependa shule ni mjinga kabisa asiyependa shule ni mjinga kabisa barua ikija twaitembeza kutwa barua ikija twaitembeza kutwa huyohuyohuyo ni mjinga kabisaaaa. Aiyayayaaaa kindumbwendumbwe chalia kindumbwendubwe chakua kikojoz nanguo twaitia moto na ndan kuna viroboto hiloooo.tehteheeeeee walikua wanakoma vikojoz
 
Weupe wangu umeuona wapi Erickb52?

Ukiambiwa mwanga utakataa?
Hahahaaa hivi unadhani mtu ukimnyamazia mwenzio ndio hatujuani humu?
Lol hata mwanga huwa anajua vitu sema hasemagi tu coz akiulizwa kajuaje anakosa jibu!
Ila nakumiss Madame B
 
Last edited by a moderator:
Madame B tena ukiwa unaimba huo wimbo unajibetuaje? unaringa ringa afu unatikisa kiuno lolest. . .

Yani hapo ni full mauno kwa kwenda mbereee!!
Wavulana walikuwa wanakomajeee enzi hzo pale Forodhani..!!!
Dah!
Natamani nirudi utotoni jama.

Charm shost we enz hzo shule gani?
Yani n'likuwa natamani saa 7 isifike haraka.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…