Unazikumbuka nyimbo za shule ya msingi (e.i. std i - iii)?

Unazikumbuka nyimbo za shule ya msingi (e.i. std i - iii)?

Hv Aladji Aladji ni nyimbo ya S/msingi?

Kama sio mbona inaimbwa sana Mashuleni?
Erickb52 kama nakuona enzi hzo unavyovunja ngoko kwa Mabreka na SagaDance.

aaha tcha cku hz wanaimba aladji? dah kwa kweli watoto wetu wameharibikiwa. afu ukiwakuta wanacheza kiduku tena ule cjui ni wimbo au ni nini et "abha abha abha"x5 utalewa bila kunywa!
 
Last edited by a moderator:
Mabata madogodogo yanaogelea, yanaogelea katika shamba zuurii la bustani........
Yanapenda kutembea bila viatu, bila viatu katika ..........
Yanapenda kulia kwakwakwakwakwa, kwakwa kwakwakwa.........

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Naweza kuhesabu namba 1,2,3 (X 2)
4,5,6,7
8,9,10

Vidole vya mikono yangu, Jumla yake kumi (X 2)
Huku tano,na huku tano
Jumla yake kumi.
 
aaha tcha cku hz wanaimba aladji? dah kwa kweli watoto wetu wameharibikiwa. afu ukiwakuta wanacheza kiduku tena ule cjui ni wimbo au ni nini et "abha abha abha"x5 utalewa bila kunywa!

Kuna choctic wangu ni Ticha.
Basi ana mdaftari huo,
nyimbo gani uitake ukose?
Yani kwanzia zile za 'kubaka balale' mpaka za 'chopeko na mnofu'
au 'Matola anakula gizani'.

Yani kwa kweli Shost lazima ulewe bila nyagi.
 
Hv Aladji Aladji ni nyimbo ya S/msingi?

Kama sio mbona inaimbwa sana Mashuleni?
Erickb52 kama nakuona enzi hzo unavyovunja ngoko kwa Mabreka na SagaDance.

aaha tcha cku hz wanaimba aladji? dah kwa kweli watoto wetu wameharibikiwa. afu ukiwakuta wanacheza kiduku tena ule cjui ni wimbo au ni nini et "abha abha abha"x5 utalewa bila kunywa!
 
Last edited by a moderator:
Iddi Amini akifa,
Mimi siwezi kulia,
Nitamtupa Kagera,
Awe chakula cha mamba.
 
nahc unaandaa mbio za kuwa mwanasiasa maarufu, me nkifatilia bunge napatwa na hasira bora niwe nalifatilia humu jamvi. . . nikiwapa madongo yao via jukwaa la siasa hasira zinapungua!

Nawachoraga tuu mana imegeuka ze comedy
 
Mwenge huo mwenge, mbio mbio (X 2)
Mwenge tunaukimbiza, mbio mbio
Mpaka makao makuu, mbio mbio
 
Hahahaaaaaaaaaa beibe nasty nimecheka sana aisee lol

Hiyo tuu mauwa mazuri jee pale zumzumzum ee mama nyukilia ee toka mbali kutafuta ua zuri la chakula zum zum zum eeh mama nyukilia ee. Heheheheheeeeehhee hili shule naipenda shule naipenda kiuno changu chembamba chakuvalia mkanda dereva wangu mshamba kavua pichu ka**mba .tehteh wapi shem heheee mbna simuon kakaako au haupitia huku
 
Last edited by a moderator:
Hi guys,

me naukumbuka huu, "hesabu ni nzuri sana weeee mwalimu nifundishe siwezi kusahau ee mwalimu ee mwalimu nifundishe"

mwingine "a e i o u hizi ni herufi kuu, tamka kwa sauti kuu, hizi a e i o u"

unazikumbuka nyingine??????????

Umenikumbusha mbali sana chaming!!!
 
Hahahaaa nilikuwa noma aisee lol

Ulikuwa umezaliwa Erickb52?

Na hii je?
Nilipomuona mbalii...kwelii e,
Nilidhani msomali...kwelii e,
Nilipomkaribia...kweli e,
Kitako cha Basikeli...kweli mwe!!
Kiitikio:
Analenga lenga lenga,
Analenga lenga lenga Yondo Sista.

Analenga lenga lenga,
Analenga lenga lenga Yondo Sista.
 
Last edited by a moderator:
Ulikuwa umezaliwa Erickb52?

Na hii je?
Nilipomuona mbalii...kwelii e,
Nilidhani msomali...kwelii e,
Nilipomkaribia...kweli e,
Kitako cha Basikeli...kweli mwe!!
Kiitikio:
Analenga lenga lenga,
Analenga lenga lenga Yondo Sista.

Analenga lenga lenga,
Analenga lenga lenga Yondo Sista.
Hahahaaaa tena hapo tunatumia tape kwenye kaseti lol
 
Hiyo tuu mauwa mazuri jee pale zumzumzum ee mama nyukilia ee toka mbali kutafuta ua zuri la chakula zum zum zum eeh mama nyukilia ee. Heheheheheeeeehhee hili shule naipenda shule naipenda kiuno changu chembamba chakuvalia mkanda dereva wangu mshamba kavua pichu ka**mba .tehteh wapi shem heheee mbna simuon kakaako au haupitia huku
Hahahaaaa beibe nasty aisee shem mbona leo unanichekesha lol
Yan niko mwenyewe haa najivunja mbafu
Dah
Kaka sijui yuko wapi atakuja lakini
 
Last edited by a moderator:
Mmenifurahisha sana. Madame B na Charminglady malizieni huu nitawazawadia.
Jua lileee litelemke mama, .......
Halafu mwingine huu, anza mwanzoni, hesabu dots.
. .. ... .... ..... kikombe cha chai.
 
Hahahaaaa beibe nasty aisee shem mbona leo unanichekesha lol
Yan niko mwenyewe haa najivunja mbafu
Dah
Kaka sijui yuko wapi atakuja lakini

Shem sikuhiz hayo mambo hakuna hapa sahz watoto wanata playstation mara oooh movie alaaaah movie wap na wap enzi zile ukipata mda rufufu ndo mpango mzima
 
Last edited by a moderator:
Mmenifurahisha sana. Madame B na Charminglady malizieni huu nitawazawadia.
Jua lileee litelemke mama, .......
Halafu mwingine huu, anza mwanzoni, hesabu dots.
. .. ... .... ..... kikombe cha chai.

Me namalizia huo wa jua lile.
Jua lilee literemke mama,
Jua lilee literemke mama,
A...tuliangalie,
E...tulisherekee,
I...tuliimbie,
O...tulioone,
U...tulishukuru.

Na wa kikombe cha chai.
Hyo ndio a,a aa iko kama..
We acha bhana,
me mkare.
 
Nani anakumbuka hii;

" sasa tunawahesabu iyooooo!"
Sasa tunawahesabu
Waliokufa kwa tabu
Bila hatamatibabu
Wengi hawana hesabu
Waliokufa kwa tabu uingerezaaaaa"

Kambona aliagiza iyoooooo!
Kambona aliagiza
Mkipigana mkimaliza
Pindueni mkiweza
Nitawapeni mapesa
Nikirudi safarini uingerereza!

Tom Mboya wa Kenya iyooooo!
Tom Mboya wa Kenya
Ji kiongozi shupavu
Kala risasi ya taya
Maharamia wabaya
Wala hawaoni haya
Kumuua!!!
 
Back
Top Bottom