Unazungumzia vipi ujio wa upcoming artist Harmonize kutoka Wasafi Label?

Kelele bhabha Kelele, bubu wanguuuu kufika geto Kelele bhabha Kelele
 
Ukweli ndo huo yule cyo msanii nyimbo zenyewe za ki underground ambazobwatotobwa temeke kbao wanaimba hvyo

Alafu cjui ana undugu nabyule Enock wa Yamoto band maana naona spicie sile zile za watu wa kigoma sura zisizoeleweka ashakumu si matusi
Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaa wallah thanks Mkuu u made my day nimecheka mpaka basi,ivi ni sura gani zisizoeleweka yailahi?
 
Jamaaa anajua tena xanaa...mm nampa hongera na azid kulixoma game linakaaje ili aweze kupambana dhaid....
 

Mkuu masahihisho kidogo, Kgm to ksl ni km 90 alafu huyo dogo sio yule wa kasulu unaemjua majina yamefanana tu
 
Mkuu masahihisho kidogo, Kgm to ksl ni km 90 alafu huyo dogo sio yule wa kasulu unaemjua majina yamefanana tu

Kigoma to Kasulu ni 90km lakini inakuchukua masaa hayo niliyoyataja kufika, anhaaa basi nikajua ni yule wa kasulu naemfahamu mimi...
 
 
Wimbo mzuri sana ameanza vyema! Anaweza
 
Hamna kitu palee
Cyo msanii bali ni gym trainer wa yule bibi kikongwe wake na extended family yake mzima so ameamua tu ku populisha ila hajui hata kuimba bora angekomaa na nuhu mziwanda and like wise
Hii ilikuwa ni CHUKI dhahiri
 
Ukweli ndo huo yule cyo msanii nyimbo zenyewe za ki underground ambazobwatotobwa temeke kbao wanaimba hvyo

Alafu cjui ana undugu nabyule Enock wa Yamoto band maana naona spicie sile zile za watu wa kigoma sura zisizoeleweka ashakumu si matusi
Tupe mrejesho
 
Hamna kitu palee
Cyo msanii bali ni gym trainer wa yule bibi kikongwe wake na extended family yake mzima so ameamua tu ku populisha ila hajui hata kuimba bora angekomaa na nuhu mziwanda and like wise
kilaza uyo nuhu yuko wapi na harmonize unamuonaj sasa? mwisho wa roho mbaya ni aibu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…