John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Mtazame Rais wa Korea, Kim Jong-un katika majukumu yake ya kawaida, wadau tuijadili hii fasheni ya nguo zake alizovaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukute wanamabusha babu mpira wanguAnapendeza sana.. upanga safi kabisa!
naona ni aina ya mavazi waliyochagua si unaona na hao wengine wamevaa
😂 😂 😂Anaweza itumia kama parachut pia 🤨🤔
Fundi wake ni miongoni mwa binadamu jasiri katika uso wa DuniaMtazame Rais wa Korea, Kim Jong-un katika majukumu yake ya kawaida, wadau tuijadili hii fasheni ya nguo zake alizovaa.
Halafu suruali zao zinagusa hadi kwenye mchanga/udongo.Mtazame Rais wa Korea, Kim Jong-un katika majukumu yake ya kawaida, wadau tuijadili hii fasheni ya nguo zake alizovaa.