inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Shirikisho imepitaje kwenye tundu la sindano ilhali mpinzani kapigiwa pira jingi nyumba I kwake!?..yanga shirikisho atafika mbali,hachagui uwanja,anaupiga mwingi popote,home & awaySasa kipindi kile simba si ilifika mpaka robo fainali klabu bingwa?
Utata sasaivi upo kwasababu timu unbeaten imeshindwa hata kuvuka makundi klabu bingwa na huko shirikisho imepita kwenye tundu la sindano, tena dalili zinaonesha makundi itaenda kuchakazwa mbaya mbovu
Yanga havuki makundi...akivuka nakupa code za moyo wangu wa betri uniueShirikisho imepitaje kwenye tundu la sindano ilhali mpinzani kapigiwa pira jingi nyumba I kwake!?..yanga shirikisho atafika mbali,hachagui uwanja,anaupiga mwingi popote,home & away
Inama Nkusweke mkuu.Kwani club africain wanasemaje!?..maana walizidiwa kila kitu
Hawa watu wengine wameanza fwatili mpira sijui juzi kati hapaLigi yetu dhaifu kwa misingi gani mtoa mada?... Ligi yetu sahiv ni bora.. huo udhaifu sijui unataka kulinganisha na wakati gani..
Labda uniambie huo mwaka ambao ligi ilikuwa ni bora kuliko nyakati hizi?
Hizi ndio akili zenu kwanini msikubali ubora wa yanga mmebaki kupiga ramli tu kama waganga wa kienyeji, Simba imefuzu makundi baada ya kukutana na vibonde, kiufupi uwezi kulinganisha de agosto ya angola na Al hilal ya sudan kwenye ubora ni mbingu na ardhi sasa ngoja tusubilie hatua ya makundi ndio utajua timu yako ni imara au ni dhaifu pumba na mchele vitajitengaSasa kipindi kile simba si ilifika mpaka robo fainali klabu bingwa?
Utata sasaivi upo kwasababu timu unbeaten imeshindwa hata kuvuka makundi klabu bingwa na huko shirikisho imepita kwenye tundu la sindano, tena dalili zinaonesha makundi itaenda kuchakazwa mbaya mbovu
Poa, nawewe subiria makundi ya loosers cup tuone kama utatoboaHizi ndio akili zenu kwanini msikubali ubora wa yanga mmebaki kupiga ramli tu kama waganga wa kienyeji, Simba imefuzu makundi baada ya kukutana na vibonde, kiufupi uwezi kulinganisha de agosto ya angola na Al hilal ya sudan kwenye ubora ni mbingu na ardhi sasa ngoja tusubilie hatua ya makundi ndio utajua timu yako ni imara au ni dhaifu pumba na mchele vitajitenga
Weka jichoYanga havuki makundi...akivuka nakupa code za moyo wangu wa betri uniue
Nmeweka uhai kabisa, ukishaniua hata jicho utachukuaWeka jicho
Itakua unazungumzia Simba..yanga ni timu Bora Sana kwa sasaYanga havuki makundi...akivuka nakupa code za moyo wangu wa betri uniue
[emoji23]Yanga havuki makundi...akivuka nakupa code za moyo wangu wa betri uniue
Bora kwnye mipango nje ya uwanja.Itakua unazungumzia Simba..yanga ni timu Bora Sana kwa sasa
Africaine na Simba nao walipigwa mipango!?...kubali ukweliBora kwnye mipango nje ya uwanja.
Na sio timu ya kiushindani,,,,zaidi ya mipango .
Nakuhakikishia siku mipango iwekwe pembeni na timu zicheze bila mipango ,,
Utaona kama Kuna unbeaten zozote.
Tatizo bahasha zinawadanganya sana, we hukuona mbeya city beki hazikabi live kabisaItakua unazungumzia Simba..yanga ni timu Bora Sana kwa sasa
Sio Punda fc😄Ngada FC, Sembe FC, Pusha FC, wanasumbua sana.
Hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaaSio Punda fc😄
Kicheko hiki kumbe na wanawake mpo kwenye mijadala hii?Hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaa