Kama kumbu kumbu zangu zipo sahihi,hii ni record ya Afrika inabebwa na yanga ama watachukua ya dunia kabisa.Hata ile yanga iliyocheza nusu fainali haikuweza kuweka record hii.
Kama ni ubora,basi ningetarajia klabu bingwa wangeweza kufika hata fainali.Hata hivyo wapo makundi shirikisho.Natarajia huko iwapo wao ni bora,wataongoza kundi lao na wanapaswa kufika fainali kabisa.
Kama hawatafanikiwa hivyo,basi lazima tujiulize hii unbeaten ni kwa vile yanga wanacheza ligi dhaifu?Ligi ambayo imedhaminiwa kwa pesa nyingi kuliko wakati wowote hapa nchini,inasikitisha sana kwamba ndiyo imekuwa ligi dhaifu kuliko zote ambazo zimewahi kutokea hapa nchini.Ligi hii hii dhaifu,kuna timu inacheza klabu bingwa Afrika na unaweza kushangazwa kwamba wakafanya vizuri sana.
Nawapongeza yanga kama ninavyokipongeza chama fulani ambacho huongoza kwa kura hata kwenye kituo alichopiga kura mgombea wa upinzani na familia yake yote unakuta mpinzani ana kura sifuri.
Nawapongeza kwa ushindi wa "kishindo"
Kama ni ubora,basi ningetarajia klabu bingwa wangeweza kufika hata fainali.Hata hivyo wapo makundi shirikisho.Natarajia huko iwapo wao ni bora,wataongoza kundi lao na wanapaswa kufika fainali kabisa.
Kama hawatafanikiwa hivyo,basi lazima tujiulize hii unbeaten ni kwa vile yanga wanacheza ligi dhaifu?Ligi ambayo imedhaminiwa kwa pesa nyingi kuliko wakati wowote hapa nchini,inasikitisha sana kwamba ndiyo imekuwa ligi dhaifu kuliko zote ambazo zimewahi kutokea hapa nchini.Ligi hii hii dhaifu,kuna timu inacheza klabu bingwa Afrika na unaweza kushangazwa kwamba wakafanya vizuri sana.
Nawapongeza yanga kama ninavyokipongeza chama fulani ambacho huongoza kwa kura hata kwenye kituo alichopiga kura mgombea wa upinzani na familia yake yote unakuta mpinzani ana kura sifuri.
Nawapongeza kwa ushindi wa "kishindo"