Unbeaten Yanga to face Al Hilal of Sudan, Iwe isiwe lazima Yanga afie Sudan

Unbeaten Yanga to face Al Hilal of Sudan, Iwe isiwe lazima Yanga afie Sudan

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Kumekuwa na tambo nyingi kuwa yanga wamefikisha siku 10,000 hawajafungwa, kwamba wana timu ya kupambana na timu yoyote ile duniani, wao wanadai wana uwezo hasa, mfano mzuri ni juzi wametoa adhabu kali sana kwa wanubi wa Sudan kusini Zalan kwa aggregates ya mabao 9-0.

Sasa wameitoa Sudan Kusini wamepewa Sudan Kaskazini, waarabu wa Sudan kaskazini. Mama yangu.

Iwe isiwe, narudia iwe isiwe, narudia tena iwe isiwe, Yanga lazima afie Sudan akapambane kombe la Shirikisho huko.

Ibenge hajawahi kutolewa hatua za awali, Ibenge anajua udhaifu wa Bangala, anamjua Juma Shaaban, anamjua Mayele, atashindwaje kwenda group stage.

Yanga akivuka kwa Al Hilal naenda kupiga deki jangwani.
 
1. Al-Merreikh (Sud)

Al Ahly Tripoli (Lby)
08.10. 15:00

2. ASEC Mimosas (Ivo)

Horoya (Gui)
08.10. 15:00

3. Cape Town City (Rsa)

Petro Atletico (Ang)
08.10. 15:00

4. Kadiogo (Bfa)

AS Vita Club (Drc)
08.10. 15:00

5. Kara (Tog)

Kabylie (Alg)
08.10. 15:00

6. Monastir (Tun)

Al Ahly (Egy)
08.10. 15:00

7. Nigelec (Nig)

Raja Casablanca (Mar)
08.10. 15:00

8. Plateau United (Nga)

Esperance Tunis (Tun)
08.10. 15:00

9. Primeiro de Agosto (Ang)

Simba (Tan)
08.10. 15:00

10. Rivers United (Nga)

Wydad (Mar)
08.10. 15:00

11. Royal Leopards (Esw)

Cotonsport (Cmr)
08.10. 15:00

12. Vipers (Uga)

Mazembe (Drc)
08.10. 15:00

13. Young Africans (Tan)

Al-Hilal Omdurman (Sud)
08.10. 15:00

14. Al Ahly (Egy)

Monastir (Tun)
15.10. 15:00

15. Al Ahly Tripoli (Lby)

Al-Merreikh (Sud)
15.10. 15:00

16. Al-Hilal Omdurman (Sud)

Young Africans (Tan)
15.10. 15:00

17. AS Vita Club (Drc)

Kadiogo (Bfa)
15.10. 15:00

18. Cotonsport (Cmr)

Royal Leopards (Esw)
15.10. 15:00

19. Esperance Tunis (Tun)

Plateau United (Nga)
15.10. 15:00

20. Horoya (Gui)

ASEC Mimosas (Ivo)
15.10. 15:00

21. Kabylie (Alg)

Kara (Tog)
15.10. 15:00

22. Mazembe (Drc)

Vipers (Uga)
15.10. 15:00

23. Petro Atletico (Ang)

Cape Town City (Rsa)
15.10. 15:00

24. Raja Casablanca (Mar)

Nigelec (Nig)
15.10. 15:00

25. Simba (Tan)

Primeiro de Agosto (Ang)
15.10. 15:00

26. Wydad (Mar)

Rivers United (Nga)
15.10. 15:00
Final
-
 
Kumekuwa na tambo nyingi kuwa yanga wamefikisha siku 10,000 hawajafungwa, kwamba wana timu ya kupambana na timu yoyote ile duniani, wao wanadai wana uwezo hasa, mfano mzuri ni juzi wametoa adhabu kali sana kwa wanubi wa Sudan kusini Zalan kwa aggregates ya mabao 9-0.

Sasa wameitoa Sudan Kusini wamepewa Sudan Kaskazini, waarabu wa Sudan kaskazini. Mama yangu.

Iwe isiwe, narudia iwe isiwe, narudia tena iwe isiwe, Yanga lazima afie Sudan akapambane kombe la Shirikisho huko.

Ibenge hajawahi kutolewa hatua za awali, Ibenge anajua udhaifu wa Bangala, anamjua Juma Shaaban, anamjua Mayele, atashindwaje kwenda group stage.

Yanga akivuka kwa Al Hilal naenda kupiga deki jangwani.
Hiyo unbeaten mlianza kuhesabu baada ya game ya Vipers ama? Nakumbuka mlikandwa 2 na hakuna mchezaji mlimuacha nje.
 
Kumekuwa na tambo nyingi kuwa yanga wamefikisha siku 10,000 hawajafungwa, kwamba wana timu ya kupambana na timu yoyote ile duniani, wao wanadai wana uwezo hasa, mfano mzuri ni juzi wametoa adhabu kali sana kwa wanubi wa Sudan kusini Zalan kwa aggregates ya mabao 9-0.

Sasa wameitoa Sudan Kusini wamepewa Sudan Kaskazini, waarabu wa Sudan kaskazini. Mama yangu.

Iwe isiwe, narudia iwe isiwe, narudia tena iwe isiwe, Yanga lazima afie Sudan akapambane kombe la Shirikisho huko.

Ibenge hajawahi kutolewa hatua za awali, Ibenge anajua udhaifu wa Bangala, anamjua Juma Shaaban, anamjua Mayele, atashindwaje kwenda group stage.

Yanga akivuka kwa Al Hilal naenda kupiga deki jangwani.
348518BC-8229-470D-B564-3BA46126B553.jpeg
 
1. Al-Merreikh (Sud)

Al Ahly Tripoli (Lby)
08.10. 15:00

2. ASEC Mimosas (Ivo)

Horoya (Gui)
08.10. 15:00

3. Cape Town City (Rsa)

Petro Atletico (Ang)
08.10. 15:00

4. Kadiogo (Bfa)

AS Vita Club (Drc)
08.10. 15:00

5. Kara (Tog)

Kabylie (Alg)
08.10. 15:00

6. Monastir (Tun)

Al Ahly (Egy)
08.10. 15:00

7. Nigelec (Nig)

Raja Casablanca (Mar)
08.10. 15:00

8. Plateau United (Nga)

Esperance Tunis (Tun)
08.10. 15:00

9. Primeiro de Agosto (Ang)

Simba (Tan)
08.10. 15:00

10. Rivers United (Nga)

Wydad (Mar)
08.10. 15:00

11. Royal Leopards (Esw)

Cotonsport (Cmr)
08.10. 15:00

12. Vipers (Uga)

Mazembe (Drc)
08.10. 15:00

13. Young Africans (Tan)

Al-Hilal Omdurman (Sud)
08.10. 15:00

14. Al Ahly (Egy)

Monastir (Tun)
15.10. 15:00

15. Al Ahly Tripoli (Lby)

Al-Merreikh (Sud)
15.10. 15:00

16. Al-Hilal Omdurman (Sud)

Young Africans (Tan)
15.10. 15:00

17. AS Vita Club (Drc)

Kadiogo (Bfa)
15.10. 15:00

18. Cotonsport (Cmr)

Royal Leopards (Esw)
15.10. 15:00

19. Esperance Tunis (Tun)

Plateau United (Nga)
15.10. 15:00

20. Horoya (Gui)

ASEC Mimosas (Ivo)
15.10. 15:00

21. Kabylie (Alg)

Kara (Tog)
15.10. 15:00

22. Mazembe (Drc)

Vipers (Uga)
15.10. 15:00

23. Petro Atletico (Ang)

Cape Town City (Rsa)
15.10. 15:00

24. Raja Casablanca (Mar)

Nigelec (Nig)
15.10. 15:00

25. Simba (Tan)

Primeiro de Agosto (Ang)
15.10. 15:00

26. Wydad (Mar)

Rivers United (Nga)
15.10. 15:00
Final
-
Shukrani
 
Kumekuwa na tambo nyingi kuwa yanga wamefikisha siku 10,000 hawajafungwa, kwamba wana timu ya kupambana na timu yoyote ile duniani, wao wanadai wana uwezo hasa, mfano mzuri ni juzi wametoa adhabu kali sana kwa wanubi wa Sudan kusini Zalan kwa aggregates ya mabao 9-0.

Sasa wameitoa Sudan Kusini wamepewa Sudan Kaskazini, waarabu wa Sudan kaskazini. Mama yangu.

Iwe isiwe, narudia iwe isiwe, narudia tena iwe isiwe, Yanga lazima afie Sudan akapambane kombe la Shirikisho huko.

Ibenge hajawahi kutolewa hatua za awali, Ibenge anajua udhaifu wa Bangala, anamjua Juma Shaaban, anamjua Mayele, atashindwaje kwenda group stage.

Yanga akivuka kwa Al Hilal naenda kupiga deki jangwani.
Mimi Simba ila Kwa Hio timu Yanga ataupiga mwingi sana na ndio nyota yao itabambia hapo, kazi tunayo sisi Simba Kwa huyu Agosto wa Angola
 
Winga Morrison, Winga Kisinda …Kumi Stephane Ki, Mbele King Of The Game “Mayele”, Kati Kati Aucho Na Fei, Kushoto Na Kulia Farid Musa Na Djuma, Nyuma Nazima Mwenyewe MVP Mzee Wa Kazi Chafu Na Mwng Wa Nguvu International Defender Dickson Kazi Af Golini Mdaka Mishale Diarra…..HIVI TUNATOLEWAJE? TUNATOLEWAJE KWA MFANO? MAMAEE!! [emoji28]
 
Hiyo unbeaten mlianza kuhesabu baada ya game ya Vipers ama? Nakumbuka mlikandwa 2 na hakuna mchezaji mlimuacha nje.
Hujui kuna kocha Nabi yanga? amin amin nakuambieni makolo timu ngumu africa mashariki kwa sasa Simba. kama simba kafungwa na yanga mara mbili Sudani ni nyanya tupu. Yanga mpinzaniwe yupo Misri na Moroco tuu basi lakini kuanzia Libya mpaka algeria yanga ni Msolopa!
 
Back
Top Bottom