Unbeaten Yanga to face Al Hilal of Sudan, Iwe isiwe lazima Yanga afie Sudan

Unbeaten Yanga to face Al Hilal of Sudan, Iwe isiwe lazima Yanga afie Sudan

Kumekuwa na tambo nyingi kuwa yanga wamefikisha siku 10,000 hawajafungwa, kwamba wana timu ya kupambana na timu yoyote ile duniani, wao wanadai wana uwezo hasa, mfano mzuri ni juzi wametoa adhabu kali sana kwa wanubi wa Sudan kusini Zalan kwa aggregates ya mabao 9-0.

Sasa wameitoa Sudan Kusini wamepewa Sudan Kaskazini, waarabu wa Sudan kaskazini. Mama yangu.

Iwe isiwe, narudia iwe isiwe, narudia tena iwe isiwe, Yanga lazima afie Sudan akapambane kombe la Shirikisho huko.

Ibenge hajawahi kutolewa hatua za awali, Ibenge anajua udhaifu wa Bangala, anamjua Juma Shaaban, anamjua Mayele, atashindwaje kwenda group stage.

Yanga akivuka kwa Al Hilal naenda kupiga deki jangwani.
Kaka utapigishwa deki pale jangwani Hadi akil ikukae sawa
 
Hujui kuna kocha Nabi yanga? amin amin nakuambieni makolo timu ngumu africa mashariki kwa sasa Simba. kama simba kafungwa na yanga mara mbili Sudani ni nyanya tupu. Yanga mpinzaniwe yupo Misri na Moroco tuu basi lakini kuanzia Libya mpaka algeria yanga ni Msolopa!
Wameenda mbali, wangewapa vipers tu.
 
Kumekuwa na tambo nyingi kuwa yanga wamefikisha siku 10,000 hawajafungwa, kwamba wana timu ya kupambana na timu yoyote ile duniani, wao wanadai wana uwezo hasa, mfano mzuri ni juzi wametoa adhabu kali sana kwa wanubi wa Sudan kusini Zalan kwa aggregates ya mabao 9-0.

Sasa wameitoa Sudan Kusini wamepewa Sudan Kaskazini, waarabu wa Sudan kaskazini. Mama yangu.

Iwe isiwe, narudia iwe isiwe, narudia tena iwe isiwe, Yanga lazima afie Sudan akapambane kombe la Shirikisho huko.

Ibenge hajawahi kutolewa hatua za awali, Ibenge anajua udhaifu wa Bangala, anamjua Juma Shaaban, anamjua Mayele, atashindwaje kwenda group stage.

Yanga akivuka kwa Al Hilal naenda kupiga deki jangwani.
Hizi pimbi za makolo sijui zinavuta bangi za wapi, mpira unachezwa uwanjani na timu bora ndiyo itakayovuka hatua inayofata, habari za kukariri maisha zilishagapitwa na wakati inaonekana kipigo watachopata iyo timu yenu ya sudani mtaishia kujificha kusikojulikana na nyuzi mtazitelekeza humu, subilini safari hii mtaumizwa na yanga vya kutosha
 
Kumekuwa na tambo nyingi kuwa yanga wamefikisha siku 10,000 hawajafungwa, kwamba wana timu ya kupambana na timu yoyote ile duniani, wao wanadai wana uwezo hasa, mfano mzuri ni juzi wametoa adhabu kali sana kwa wanubi wa Sudan kusini Zalan kwa aggregates ya mabao 9-0.

Sasa wameitoa Sudan Kusini wamepewa Sudan Kaskazini, waarabu wa Sudan kaskazini. Mama yangu.

Iwe isiwe, narudia iwe isiwe, narudia tena iwe isiwe, Yanga lazima afie Sudan akapambane kombe la Shirikisho huko.

Ibenge hajawahi kutolewa hatua za awali, Ibenge anajua udhaifu wa Bangala, anamjua Juma Shaaban, anamjua Mayele, atashindwaje kwenda group stage.

Yanga akivuka kwa Al Hilal naenda kupiga deki jangwani.
Yanga wanawafunga hao Al Hilal mapema kabisa, ndani nje, Yanga ya leo ni moto hatari sana, hata aje nani Africa hii kwa sasa, Yanga anafunga tu
 
Hujui kuna kocha Nabi yanga? amin amin nakuambieni makolo timu ngumu africa mashariki kwa sasa Simba. kama simba kafungwa na yanga mara mbili Sudani ni nyanya tupu. Yanga mpinzaniwe yupo Misri na Moroco tuu basi lakini kuanzia Libya mpaka algeria yanga ni Msolopa!
Hebu soma tena ulichoandika kama hautajicheka.
 
Kumekuwa na tambo nyingi kuwa yanga wamefikisha siku 10,000 hawajafungwa, kwamba wana timu ya kupambana na timu yoyote ile duniani, wao wanadai wana uwezo hasa, mfano mzuri ni juzi wametoa adhabu kali sana kwa wanubi wa Sudan kusini Zalan kwa aggregates ya mabao 9-0.

Sasa wameitoa Sudan Kusini wamepewa Sudan Kaskazini, waarabu wa Sudan kaskazini. Mama yangu.

Iwe isiwe, narudia iwe isiwe, narudia tena iwe isiwe, Yanga lazima afie Sudan akapambane kombe la Shirikisho huko.

Ibenge hajawahi kutolewa hatua za awali, Ibenge anajua udhaifu wa Bangala, anamjua Juma Shaaban, anamjua Mayele, atashindwaje kwenda group stage.

Yanga akivuka kwa Al Hilal naenda kupiga deki jangwani.
Pole sana. Hutaamini utakacho kishuhudia na huyo Ibenge wako.
 
Kwahiyo mnajiweka level moja na St.George?
Kumbukeni tulishawahi kuwachapa hao St. George! Lakini pia kama mbabe wao makolokolo sisi tunajipigia wao tunawashindwaje?
 
Back
Top Bottom