Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Ndugu WanaJF
Uncle amekuwa anatafuna mdada wa kazi kwa jirani, mara wenye nyumba wanapokuwa hawapo huku mdada mwingine wa kazi akishuhudia vitendo vile. Kweli za mwizi ni 39, ya 40 sasa imewadia. Wenye nyumba wakasafiri kwa muda wa wiki moja, uncle akaendeleza kamchezo kake bila kuhofia mdada mwingine wa kazi. Kipindi hiki, akaamua kumtafunia mdada wa watu nyumbani anakofanya kazi. Kibaya, akawa anamtafunia kitandani kwa watoto wao wa kike, ambao wamesafiri nao.
Wenye nyumba waliporudi, yule mdada mwingine akaamua kusema yote kwa wazazi. Wazazi wakawaita baadhi ya wazee na majirani. Wakamuita na uncle pia. Uncle na yule mdada wa kazi wakawekwa kiti moto kweli kweli. Uncle na mdada ikabidi wakiri kuwa wamekuwa wakitafunana kwenye chumba wa watoto na wakati mwingine sebureni.
Wazee, majirani na wazazi wakaamua uncle amuoe yule mdada wa kazi, na mdada wa kazi akiridhia chapchap! Uncle hakuwa na ujanja, akaandikishwa barua ya makubaliano akatia sahihi na yule mdada akasaini pia, na mashahidi wote. Mdada wa kazi akapaki mizigo yake na kuongozana na uncle hadi nyumbani kwa uncle. Uncle anasoma chuo kikuu na bado anaishi na wazazi wake. Bahati, wazazi wa uncle wamesafiri ila wanarudi wiki ijayo. Uncle amemuoa yule mdada hii ni siku ya tano!
Wazazi wameishaambiwa juu ya mkasa huu, ila wako kimyaaaa. Uncle amechanganyikiwa...sana sana! Sasa anaomba nimpatie ushauri, ebu nipeni mawazo ili nimsaidie uncle...........
Wamemkomesha, na bado mziki ndio unaanza. Subutu yake amfukuze! Sizitaki mbichi hizi? Wakati anazirukia hakuziona mbichi. Adabu hana wala heshima. Ghrrrrrrrr!
Anapanga kuwatumia wazazi wake wamkatae huyo mdada kisha atumie kigezo hicho kumtimulia mbali........
Hivi, akifanya hivyo ni uungwana kweli? Mdada wa watu anaweza kuwa tayari ana mimba au ukimwi au vyote viwili. Lakini pia, kamsababishia kupoteza kazi yake na anaweza kumpelekea kurudi kijijini........akiwa tayari ameharibikiwa!!!!
Sheria inasemaje kwa mtu kama uncle? Mimi kama mdada kitendo hichi kinaniuma japo ni uncle!
Ndugu WanaJF
Uncle amekuwa anatafuna mdada wa kazi kwa jirani, mara wenye nyumba wanapokuwa hawapo huku mdada mwingine wa kazi akishuhudia vitendo vile. Kweli za mwizi ni 39, ya 40 sasa imewadia. Wenye nyumba wakasafiri kwa muda wa wiki moja, uncle akaendeleza kamchezo kake bila kuhofia mdada mwingine wa kazi. Kipindi hiki, akaamua kumtafunia mdada wa watu nyumbani anakofanya kazi. Kibaya, akawa anamtafunia kitandani kwa watoto wao wa kike, ambao wamesafiri nao.
Wenye nyumba waliporudi, yule mdada mwingine akaamua kusema yote kwa wazazi. Wazazi wakawaita baadhi ya wazee na majirani. Wakamuita na uncle pia. Uncle na yule mdada wa kazi wakawekwa kiti moto kweli kweli. Uncle na mdada ikabidi wakiri kuwa wamekuwa wakitafunana kwenye chumba wa watoto na wakati mwingine sebureni.
Wazee, majirani na wazazi wakaamua uncle amuoe yule mdada wa kazi, na mdada wa kazi akiridhia chapchap! Uncle hakuwa na ujanja, akaandikishwa barua ya makubaliano akatia sahihi na yule mdada akasaini pia, na mashahidi wote. Mdada wa kazi akapaki mizigo yake na kuongozana na uncle hadi nyumbani kwa uncle. Uncle anasoma chuo kikuu na bado anaishi na wazazi wake. Bahati, wazazi wa uncle wamesafiri ila wanarudi wiki ijayo. Uncle amemuoa yule mdada hii ni siku ya tano!
Wazazi wameishaambiwa juu ya mkasa huu, ila wako kimyaaaa. Uncle amechanganyikiwa...sana sana! Sasa anaomba nimpatie ushauri, ebu nipeni mawazo ili nimsaidie uncle...........
Naye Uncle wako vp? Mi nilifikiri wamemkamata akiwa yuko juu ya kiuno cha Housegirl! Angekataa bwana! watu tunatia mpaka mimba na tunakataa itakuwa yeye! Labda anamtaka huyo demu, AMTIMUE tu, nduguze wakiuliza aseme amempa talaka.
Ukweli unabaki palepale, unapofanya mapenzi na mtu siyo kwamba mnataka kuoana, kukubali kwake kutaharibu future yao wote wawili ni bora AMTIMUESifa nyingine ni za kijinga kweli.
Ndugu WanaJF
Uncle amekuwa anatafuna mdada wa kazi kwa jirani, mara wenye nyumba wanapokuwa hawapo huku mdada mwingine wa kazi akishuhudia vitendo vile. Kweli za mwizi ni 39, ya 40 sasa imewadia. Wenye nyumba wakasafiri kwa muda wa wiki moja, uncle akaendeleza kamchezo kake bila kuhofia mdada mwingine wa kazi. Kipindi hiki, akaamua kumtafunia mdada wa watu nyumbani anakofanya kazi. Kibaya, akawa anamtafunia kitandani kwa watoto wao wa kike, ambao wamesafiri nao.
Wenye nyumba waliporudi, yule mdada mwingine akaamua kusema yote kwa wazazi. Wazazi wakawaita baadhi ya wazee na majirani. Wakamuita na uncle pia. Uncle na yule mdada wa kazi wakawekwa kiti moto kweli kweli. Uncle na mdada ikabidi wakiri kuwa wamekuwa wakitafunana kwenye chumba wa watoto na wakati mwingine sebureni.
Wazee, majirani na wazazi wakaamua uncle amuoe yule mdada wa kazi, na mdada wa kazi akiridhia chapchap! Uncle hakuwa na ujanja, akaandikishwa barua ya makubaliano akatia sahihi na yule mdada akasaini pia, na mashahidi wote. Mdada wa kazi akapaki mizigo yake na kuongozana na uncle hadi nyumbani kwa uncle. Uncle anasoma chuo kikuu na bado anaishi na wazazi wake. Bahati, wazazi wa uncle wamesafiri ila wanarudi wiki ijayo. Uncle amemuoa yule mdada hii ni siku ya tano!
Wazazi wameishaambiwa juu ya mkasa huu, ila wako kimyaaaa. Uncle amechanganyikiwa...sana sana! Sasa anaomba nimpatie ushauri, ebu nipeni mawazo ili nimsaidie uncle...........
Naye Uncle wako vp? Mi nilifikiri wamemkamata akiwa yuko juu ya kiuno cha Housegirl! Angekataa bwana! watu tunatia mpaka mimba na tunakataa itakuwa yeye! Labda anamtaka huyo demu, AMTIMUE tu, nduguze wakiuliza aseme amempa talaka.
Kama huna mpango nae unampa mimba ili iweje? Alafu huoni aibu kutamba kwamba mnakimbia. . . kweli WANAUME wanahesabika kwenye jamii yetu na wewe sio mmoja wao.Ukweli unabaki palepale, unapofanya mapenzi na mtu siyo kwamba mnataka kuoana, kukubali kwake kutaharibu future yao wote wawili ni bora AMTIMUE