nani kakuchamba?mimi nmechammbwa mpaka sina hamu[emoji23]
Labda hujaziona bado. Kuna video inasambaa Sana IG ikimuonyesha akilia Huku akishikiliwa na watu na kumuegemea mwanae mkubwaWatu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.
mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?
Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional
Apumzike ivan.
Inawezekana. Lakini kwanini apige mayowe wkt ajisikii kufanya hivyo? feelings zake zipo real...watu walitaka ajigaragaze azimie ndo wafurahi.Sio ex mume, zarina alikuwa na waume wawili kama ambavyo wanaume wanaweza kuwa na wake wawili. So zari kapoteza Mme mmoja kabakiza mmoja.
Pamoja na bonge la smile.Watu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.
mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?
Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional
Apumzike ivan.
hahhahahaaaa daah nimekumbuka msiba wa mshikaji mmoja hivi maeneo ya keko jmaa ni mnyakyusa daah nilishuhudia vibweka kama hivi..hahahahawanyakyusa ndo wanachukua hadi vipaza sauti kupigilia yowe
wana bendi ya kupiga yowe inakodishwa kabisa inaendaga hadi zambia wapi malawi kupiga yowe la hatari na maspika ya kutoshahahhahahaaaa daah nimekumbuka msiba wa mshikaji mmoja hivi maeneo ya keko jmaa ni mnyakyusa daah nilishuhudia vibweka kama hivi..hahahaha
imeniuma aiseeePamoja na bonge la smile.
aiiiiii weka hapa hiyo video? Zote nimeziona anafutafuta tumachozi na kitamba aiiiiiiLabda hujaziona bado. Kuna video inasambaa Sana IG ikimuonyesha akilia Huku akishikiliwa na watu na kumuegemea mwanae mkubwa
we uzi wa majonzi huu acha kutuvunja mbavu[emoji23] [emoji23]wanyakyusa ndo wanachukua hadi vipaza sauti kupigilia yowe
kwenu wafiwa wanafanyaje?Wanaopiga ukunga ni wafiwa wa bongo kwa sababu wamejaa unafiki
Sio lazima wamrekodi wakati analia kama wanyachusa. U don't know how it kills inside.aiiiiii weka hapa hiyo video? Zote nimeziona anafutafuta tumachozi na kitamba aiiiiii
huyo ndo mme alomzalia watoto haijalishi yaliyotokea? Hivi anashindwa kuvuta hisia yale mazuri waloyapitiaNdugu kumbuka ni mume wa zamani huzuni alonayo ni kwa sababu watoto wana huzuni tu na hivi mali kaachiwa watoto watakula na kusoma ahuzunike nini? Hata hivyo ana roho nzuri huyu mama! Kuna msemo maarufu 'oa single mother ikiwa mume/mzazi mwenzake amekufa'
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]wanyakyusa ndo wanachukua hadi vipaza sauti kupigilia yowe
Jamani alie mwezi ashindwe hata kutuliza watoto? Huyo girlfriend wake wa sasa alipaswa alie zaidihuyo ndo mme alomzalia watoto haijalishi yaliyotokea? Hivi anashindwa kuvuta hisia yale mazuri waloyapitia
Kwani alikuwa mume wake????Watu wana moyo video zote sijaona zari akilia kwa uchungu Nijuavyo kumpoteza mme ni kitu kikubwa sana. Nilitegemea kuona akipiga ukunga na mda huu angekua hata sauti haitoki, wiki mzima mfiwa sauti haitoki kabisa dah ana moyo.
mfiwa anapataga nguvu wapi kushika maiki akaongea? Sauti mubashara?mmmh? Au kwa kuwa ana mme kipenzi?
Anyway ni mtizamo wangu msinihukumu huwa niko emotional
Apumzike ivan.
hata kama account inasoma "not to that extent" kajiremba balaaaccount inasoma benk alie nini? angeachwa nyumba ya mkopo.gari ya mkopo watoto ada ya mkopo angebebeka kweli?
ila wanaume wetu acheni kukopa jamani kumbukeni kuna kesho
sasa watu wataweka macho kwa marehemu ili iwejeMipaka shume hyo.mtu hata hajazikwa anaanza kubagua watu wa kuridhi.inakera sana.
Kuna mijitu mimacho yao ipo,kwenye mali za marehemu tu mpaka wanatia aibu,